GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Natamani John Boko, Erasto Nyoni na Jonas Mkude waipitie hii Post yako kwa kile ambacho Umekisisitizia sana hapa.Kabsa jambo la muhum hao wachezaji wakongwe wanao wapiga misuri wenzao nao waachwe au wapewe majukum mengine
Asante japo najua kwa hii Post yako na hii Credit yako Kwangu akina ukikaidi utapigwa2, Tate Mkuu na OKW BOBAN SUNZU watanuna mno tu kwani ndiyo Vinara wa Kunichukia GENTAMYCINE na Kunionea Kijicho / Gere kwa Ushindi na Umaarufu wangu mkubwa na Uliotukuka hapa JamiiForums.
The King 👑 of Popomaz ✔️Asante japo najua kwa hii Post yako na hii Credit yako Kwangu akina ukikaidi utapigwa2, Tate Mkuu na OKW BOBAN SUNZU watanuna mno tu kwani ndiyo Vinara wa Kunichukia GENTAMYCINE na Kunionea Kijicho / Gere kwa Ushindi na Umaarufu wangu mkubwa na Uliotukuka hapa JamiiForums.
Tegemea kuanzia sasa Kuambiwa kuwa hii ID yako ni Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe na hapa nimeandika kwa ID yako ( nyingine ) ili Kujisifia na kutafuta Sifa.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Na bahati nzuri hawa Wazawa wote nawajua ndani nje tena mpaka Madhaifu yao na ndiyo maana nimetahadharisha mapema tu nikiwa kama Critical Observer niliyetukuka.Unawasagia sumu wazawa sio..
Ulizani ni kama nyie mlioshindwa kulipa kodi avic town mpaka mmefukuzwa?swali langu ni hili,je simba wana uwezo wa kumlipa huyo kocha?
Hunipendi GENTAMYCINE kama ilivyo kwa Mwenzako Tate Mkuu na hata OKW BOBAN SUNZU lakini kila Siku ( 24/7 ) mkiingia ( Log In ) hapa JamiiForums ni lazima tu mtasoma Mada zangu Kudadadeki zenu.Wamhujumu ili iweje wakati timu ikifanya vizuri na wao ni sehemu ya ushindi and vice versa?
Mgunda ni kocha ndio ila kimbinu anaendaenda tu. Simba inachezeshwa kwa mbinu za timu za vijiji.Me sijui Simba wanahangaika na nn, me naona Mgunda anatosha kabisa maana ball linatembea kweli na team inapata ushindi na magoli ya kutosha yanafungwa.
Tunaleta kocha mpya ambaye team haijui aanze tena kujaribu wachezaji mara huyu mara yule tukija stuka msimu umeisha na hakuna tulichopata.
Nikikumbuka yule Zoran alivyotaka kutuulia team yetu mara anasema sijui Chama mzito, Phiri siyo striker mzuri, onyango si beki akatuletea magarasa yake hapa wakina Dejan na Quatarra nakosa imani kabisa na hawa wazungu.
Wangemuamini Mgunda ameonyesha anaweza na team cohesion ilimeshakaa vizuri
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!The King 👑 of Popomaz ✔️
Na ndiyo maana GENTAMYCINE nikawa Mshindi wa Shindano hapa JamiiForums na Jukwaa hili la Michezo kwani naujua Mpira, Nimeucheza na Nina Vyanzo vyangu vingi mno vya Taarifa ndani ya karibia 99% ya Vilabu vyote vya Ligi Kuu hapa Tanzania.Kuna muda mwanetu unatembea na chaki kinoma..
Huwa unavuta Bange / Bangi ya wapi?Simba hawana uwezo wa kumchukua huyo Kocha kwa sasa...
Wenye uwezo ni wale waliofukuzwa avic town kwa kushindwa kulipa pango? Au wale wenzetu wanaoteswa na kijana mdogo mpaka wategemee busara za wazee kubakisha mchezaji wakati pesa hawana?Simba hawana uwezo wa kumchukua huyo Kocha kwa sasa...
Kura nilizimwagaa zoteee wa kwanzaNa ndiyo nikawa Mshindi wa Mwanachama Bora hapa JamiiForums wa Jukwaa hili la Michezo ( Sports ) Kiongozi wangu.
Na nitashinda sana tu mpaka Wanaonichukia wapasuke na wafe kabisa kwa Chuki na Hasira dhidi yangu Mimi GENTAMYCINE Kiboko yao.
Cc: OKW BOBAN SUNZU
Amina, Asante na Ubarikiwe Kiongozi.Kura nilizimwagaa zoteee wa kwanza