Simba SC kama mnamleta Kocha Mkuu Mbrazil Roberto Oliviera nashauri yafuatayo na myazingatie kiumakini

Ni mjinga Sana huyu rfk angu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
The [emoji238]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huyu kocha tumkishindwa basi sisi Simba ndio wenye shida. Kocha ana rekodi kubwa ya soka la Afrika na hana rekodi ya kufukuzwa kwa matokeo mabaya zaidi ya dau kumuondoa. Tumtumie hata misimu 3 tutakuwa na timu imara

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Hapa tunaangalia mstakabali wa club, sio maslahi ya matola na mgunda, elewa hilo mzee.
 
Leo nakuunga mkono mkuu. Umetema madini.
 
Kwa hiyo hao wengine waliofukuzwa walikuwa hawana rekodi kubwa ya soka la Afrika!
 
Nadhani bado ngozi nyeusi haiaminiki na weusi wenyewe.
 
😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…