Simba SC kiwanda kikubwa cha burudani Tanzania

Simba SC kiwanda kikubwa cha burudani Tanzania

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210428_001016153465.jpg

Mungu akupe maisha marefu Mo Dewji, Bodi ya Simba, CEO Barbara, Mwamba Haji Manara.

Mungu awape maisha marefu na ufanisi technical bench.

Mungu awaongezee umaridadi wachezaji wooote first eleven, wanaokaa bench na wanaobaki majukwaani.

Mnafanya kazi nzuri kutuba burudani washabiki. Mnatufikisha kileleni 🤣🤣. Wengine sisi hatuna starehe zaidi ya Simba Sc. Hatunywi hutukuti night club ila utatukuta kibanda umiza tunabishania Simba Sc.

Simba ni kiwanda kikubwa cha kuchakata burudani Tanzania,kimekuwa na penetration strategy nzuri katika market ya Afrika sasa kinatafuta kujikita kwenye peak ya kati ya club 5 kubwa Afrika. Tukipe sapoti

Asanteni
 

Mungu akupe maisha marefu Mo Dewji, Bodi ya Simba, CEO Barbara, Mwamba Haji Manara.

Mungu awape maisha marefu na ufanisi technical bench.

Mungu awaongezee umaridadi wachezaji wooote first eleven, wanaokaa bench na wanaobaki majukwaani.

Mnafanya kazi nzuri kutuba burudani washabiki. Mnatufikisha kileleni [emoji1787][emoji1787]. Wengine sisi hatuna starehe zaidi ya Simba Sc. Hatunywi hutukuti night club ila utatukuta kibanda umiza tunabishania Simba Sc.

Simba ni kiwanda kikubwa cha kuchakata burudani Tanzania,kimekuwa na penetration strategy nzuri katika market ya Afrika sasa kinatafuta kujikita kwenye peak ya kati ya club 5 kubwa Afrika. Tukipe sapoti

Asanteni
Bila kutusahau na sie mashabiki wa Simba. Mungu Atubariki sana. [emoji120][emoji7]
 
Hizi ni salamu kwa Al Ahly wapinzani wetu wakuu kwasasa,wajue ya kwamba Simba inakujajuu wakae mkao wakula.
Simba tunashindana na tunaofanana nao sio vitopolo vya uchochoroni.
 
Back
Top Bottom