Simba SC Kocha Amunike ametubipu sasa Sisi tumpigie kwa style hii ili ajue kwamba Simba SC ni zaidi ya Yeye Wakuja na Mshamba tu!

Simba SC Kocha Amunike ametubipu sasa Sisi tumpigie kwa style hii ili ajue kwamba Simba SC ni zaidi ya Yeye Wakuja na Mshamba tu!

Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria

Atatutambua Simba SC!
Hizi pumba zote zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria


Atatutambua Simba SC!
Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuu..........................
 
Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria


Atatutambua Simba SC!
In Haji Manara's voice.
 
tuache usimba na U ngaya miaka zaidi ya sabini hatuna hata viwanja vya mazoezi kwa mahaba haya ya kipumbavu
 
Hapana mwana sport mwenzangu jamaa yuko vzur sana na soka ltaendelea zaid uzembezembe kama kobe kujvutavuta mwsho kabsa
Maana wachezaj wa tmu kubwa wanajiona wanajua sana mpra wakat hataaa misr ni mishe kununuliwa
BONGE LA KOCHA TAIFA STARS MPYA MALENGO MAPYA

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Hakuna kocha hapo.Ni mwanzo wa mwisho wa enzi.
Yeye hakuwahi kuchelewa na alifanywaje? Tujielekeze kwenye kanuni na sheria zinasemaje juu ya muda wa mchezaji kiripoti kambini.
 
Uwezo ndio unacheza mpira sio nidhamu pekee!
Laiti ingekuwa nidhamu tungewatumia waliolazwa ward ya mortuary.
unamjua joe barton

unajua uwezo wake,unajua nidhamu yake

unaongea mambo yanayokuzid umri
 
Biila shaka!! wewe ni mbumbumbu na ni shabiki wa simba sc uchwara......(shabiki anaejielewa hawezi kuongea uozo kama huu tena public kama hapa)

Nikukumbushe tu liapokuja suala la timu ya taifa hautakiwi tena kuzungumzia huyu ni wa simba au huyu ni wa yanga au wa timu yoyote.Manuala,kichuya bocco wenzao wote wanapokuwa kwenye majukumu ya taifa wale sio wa yanga wala sio wa simba ni wataifa stars

Watu kama wewe ndio wanaishangilia magoli eanayofunga wachezaji wa simba na kuzomea magoli wanayofungwa na wachezaji wenyewe

Mashabiki wa simba mnauleta mpasuko ambao unaenda Ku cost timu yetu ya taifa ,nilicho tegemea kutoka kwa mashabiki ni kushirikiana na viongozi wa tff na kocha wa taifa star kuhakikisha hawa wachezaji wanajutia kwa namna moja au nyingine kwa kuchelewa kambini ili wawe na nidhami hata wanaporudi kwenye vilabu vyao.

Watu kama wewe wapo wengi sana ndio maana timu yetu haipandi viwango FIFA ni watu ambao ni wavivu sana kufikiria na huwa mnaweka ushabiki usio na manufaa kwa taifa .

Hata ukushangilia Uganda hakuna utakacho nufaika nacho na wala hautakuwa umebadilisha ukweli kwamba hao wachezaji unao washabikia hawapo kwenye kikosi chetu teule cha taifa stars wala hauta fanya soka la Tanzania kukua.Sana sana Utajidharaulisha na kudharaulisha taifa kwa ujumla

Nchi z Africa mashariki zinadharau sana watanzania especially Kenya na hii ndio sababu kubwa,huwa tuna ongozwa na mihemko kuliko akili

Hauwezi kwenda Uganda au Kenya ukakuta wanashangilia Tanzania hata siku moja wanajari cha kwao kwa namna yoyote ile....

Nimelize kwa kusema wewe ni mbumbumbu na mbumbumbu Ni wewe ......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria


Atatutambua Simba SC!
utakua na mtindio wa ubongo ww
 
Sidhan kama hao kina Mkude, Kicheza, Bocco nko wamelisaidia taifa kiasi cha kuwanyenyekea kwa utovu wa nidhamu,
Ni hao hao waliotolewa na Rwanda kufuzu CHAN pia ikumbukwe walivurunda sana kule Kenya na kututia aibu, ingewezekana kocha achague vijana wasio na majina uchwara ya hii lini yetu maana hata kusaidia klabu zao zifike mbali kama vijana wa mataifa mengine ni shida!!
Kila siku kusifiwa kwenye magazeti ya dimba na mwanaspoti tofauti kabisa na uwezo wao viwanjani. Nitaiheshimu ligi yetu pale itakapotoa timu za kumenyana na Akina Tp Mazembe nk tofauti na hapo nawaona wanajifurahisha tu.
 
Back
Top Bottom