Simba SC Kocha Amunike ametubipu sasa Sisi tumpigie kwa style hii ili ajue kwamba Simba SC ni zaidi ya Yeye Wakuja na Mshamba tu!

Simba SC Kocha Amunike ametubipu sasa Sisi tumpigie kwa style hii ili ajue kwamba Simba SC ni zaidi ya Yeye Wakuja na Mshamba tu!

Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria

Atatutambua Simba SC!

[emoji706] [emoji706] [emoji706] [emoji706] Tanzania ni kubwa kuliko usimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mshabiki wa Simba ila naona kama hujaandika kitu kizuri.

Mwisho wa siku wote sisi ni Watanzania na Stars ni team yetu bila kujali ni Simba au Yanga. Cha muhimu ni wachezaji kuwa na discipline ili kuepusha masuala kama haya kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikifikia ujinga huu naomba nihukumiwe kifungo cha maisha gerezani

Sent using Jamii Forums mobile app
Ata kama mi ni zero lakini siku ukiniona niko negative zero kufikia Akili hii ya mtoa mada naomba ndugu yangu @Hazad_Cfc: umtafute sniper anidungue kama ni pesa ya malipo njoo dai kwenye msiba wangu waambie marehemu alitamka .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpumbavu Manura ni Nani hao wanajiona ma superstar wakati umri usha watupa mkono kwani bila hao mpira hauta cheza nyie ndo mmemchongea Mayanga ikiwa kapata Jina kubwa ukanda wa kusini mwa Africa eti hajamuita mkude hao na wewe mtoa Mada wapuuzi adabu hamna taifa kwanza usimba na u Yanga pelaka kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria


Atatutambua Simba SC!

Heeeeee yamekuwa hayo tena???!!!
 
Haji Manara alisema mashabiki wengi Wa Simba hawajui mpira bali wamejazana tu kwenye magroup ya wasap wanaongea ujinga tu kuhusu mpira
 
Ameshaanza kuonyesha Chuki za wazi kabisa kwa Wachezaji wa Simba SC na hakuna asiyejua kwamba huyu Kocha pia ana mahaba mno na ya Rangi za Njano na Kijani na anajulikana tokea huko Kwao kwa Matapeli wa Afrika kama siyo dunia kwamba anachukia mno Rangi Nyekundu na Nyeupe kutokana na Imani zake za Kipuuzi.

Kwakuwa Tapeli Amunike ameanza sasa Sisi wana Simba SC tufanye haya upesi ili ajue kwamba Tanzania hii yetu bila Simba SC bado haijakamilika:

1. Tugomee kwenda Taifa kuangalia mpira
2. Na ikitokea tukaenda basi dakika zote 90 tuizomee Taifa Stars na kuishangilia Timu ngeni
3. Ikiwezekana tumtafutie Mganga wa Kienyeji mahiri amroge hadi aione Tanzania chungu na akimbie
4. Na ikitokea akaita tena Wachezaji wa Simba SC basi wajitahidi wawe wanazitafuta Kadi Nyekundu kwa makusudi ili Kuihujumu Timu ili achukiwe na afukuzwe upesi
5. Kuanzia leo tutangaze rasmi kuwa Adui namba moja wa Simba SC ni Tapeli Amunike kutoka Nigeria

Atatutambua Simba SC!
We shabiki ni mbumbumbu kwelikweli. Tatizo la mashabiki wengi wa simba ni waropokaji. Stars hawakuwa na mashabiki wengi uganda mbona wametoka suluhu. Achana na ufinyu wa mawazo
 
Back
Top Bottom