Simba SC kucheza mechi 3 za kirafiki dhidi ya Bandari FC, Mashujaa United na Black Eagles FC

We ambaye huchezi faulo, mbona umekwama? Kulikoni? Tuanzie hapo kwanza..!
 
Kiingilio kuelekea mchezo wa kirafiki Simba SC Vs Bandari FC
 
Kama ulivyosagwasagwa na UD-Songo
Kwahivyo ikialikwa UD Songo itakuwa sababu ya CAF..!

Na hiyo Black Eagles nayo? Acheni kuteseka Simba SC hii mtasaga meno [emoji23]
 
Mngetolewa na UD Songo kitimu cha ajabu kinapigwa nne kwao na kitimu kingine cha ajabu Platnumz...anyways mbwembwe zote kumbe Chama,Mkude na Nyoni hamjawapa hela ya usajiri..wengine wamepiga kimya wanaogopa kufukuzwa
 
Doooh. 🤔🤔🤔

Kumbe hata nyasi huwa zinalika saa nyingine eee.
 
Kuna ule usemi usemao bahati huwa haiji mara mbili na ndio kilichotokea kwao.

Walibahatisha hao. 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Alisikika mlevi mmoja akisema
Gongo si nzuri aisee
 
Mtani ndio mnaisaka hivooo. Haya bana kila la kheri.
Tunatafuta Chemistry kwenye kikosi na wachezaji wapate Match Fitness, zaidi ndo maana kwenye VPL ushindi ni asilimia 100% ambapo wengine wanatafsiri kuwa Simba SC inabebwa ilhali ni jitihada zetu..NguvuMoja
 
Duuuuhhh mbona Yanga walipokuwa wanacheza friends match walikandiwa sana kuwa vitimu vibovu lkn naona kwa simba wala sio shida.
 
Hivi hizi klabu unaweza kulinganisha na Moro Kids, Academy ya Kanisa na Toto African..?
Duuuuhhh mbona Yanga walipokuwa wanacheza friends match walikandiwa sana kuwa vitimu vibovu lkn naona kwa simba wala sio shida.
 
Uongo Horoya wapo wapi? St Constantine ,club africain na Js soura na lobi stars hawakwenda hata hiyo hatua ya awali
 
Baada ya hapo mnafuzu hatua ya makundi ya ndondo cup quarter final
 
Watakuja mbumbumbu kupinga hili
 
Nasikia kuna wachezaji wesimamishwa kwa utomvu wa nidhamu, vipi hujasikia hizi?
Hawajalipwa signing fees,Gadiel,Nyoni,Chama na Mkude japo wao wana sema ni utovu wa nidhamu ila mshiko wanadai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…