Simba SC kucheza mechi 3 za kirafiki dhidi ya Bandari FC, Mashujaa United na Black Eagles FC

Simba SC kucheza mechi 3 za kirafiki dhidi ya Bandari FC, Mashujaa United na Black Eagles FC

Wenzako wote waliofika group stages msimu uliopita wamerudi tena group stages, wewe tu umeishia preliminary stages, hii inadhihisha na kuthibitisha u underdog wako, kumbe yaliyokuwa yanasemwa kwamba mechi za home ulikuwa unacheza faulu nje ya uwanja ni kweli, sasa ukakutana na kiboko yako Du-songo akakufanya huna hamu mkuu.
We ambaye huchezi faulo, mbona umekwama? Kulikoni? Tuanzie hapo kwanza..!
 
Kiingilio kuelekea mchezo wa kirafiki Simba SC Vs Bandari FC
IMG_20191008_204857_459.jpeg
 
Kama ulivyosagwasagwa na UD-Songo
Kwahivyo ikialikwa UD Songo itakuwa sababu ya CAF..!

Na hiyo Black Eagles nayo? Acheni kuteseka Simba SC hii mtasaga meno [emoji23]
 
Mngetolewa na UD Songo kitimu cha ajabu kinapigwa nne kwao na kitimu kingine cha ajabu Platnumz...anyways mbwembwe zote kumbe Chama,Mkude na Nyoni hamjawapa hela ya usajiri..wengine wamepiga kimya wanaogopa kufukuzwa
 
Doooh. 🤔🤔🤔

Kumbe hata nyasi huwa zinalika saa nyingine eee.
 
Wenzako wote waliofika group stages msimu uliopita wamerudi tena group stages, wewe tu umeishia preliminary stages, hii inadhihisha na kuthibitisha u underdog wako, kumbe yaliyokuwa yanasemwa kwamba mechi za home ulikuwa unacheza faulu nje ya uwanja ni kweli, sasa ukakutana na kiboko yako Du-songo akakufanya huna hamu mkuu.
Kuna ule usemi usemao bahati huwa haiji mara mbili na ndio kilichotokea kwao.

Walibahatisha hao. 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Alisikika mlevi mmoja akisema
Wenzako wote waliofika group stages msimu uliopita wamerudi tena group stages, wewe tu umeishia preliminary stages, hii inadhihisha na kuthibitisha u underdog wako, kumbe yaliyokuwa yanasemwa kwamba mechi za home ulikuwa unacheza faulu nje ya uwanja ni kweli, sasa ukakutana na kiboko yako Du-songo akakufanya huna hamu mkuu.
Gongo si nzuri aisee
 
Mtani ndio mnaisaka hivooo. Haya bana kila la kheri.
Tunatafuta Chemistry kwenye kikosi na wachezaji wapate Match Fitness, zaidi ndo maana kwenye VPL ushindi ni asilimia 100% ambapo wengine wanatafsiri kuwa Simba SC inabebwa ilhali ni jitihada zetu..NguvuMoja
 
Duuuuhhh mbona Yanga walipokuwa wanacheza friends match walikandiwa sana kuwa vitimu vibovu lkn naona kwa simba wala sio shida.
 
Hivi hizi klabu unaweza kulinganisha na Moro Kids, Academy ya Kanisa na Toto African..?
Duuuuhhh mbona Yanga walipokuwa wanacheza friends match walikandiwa sana kuwa vitimu vibovu lkn naona kwa simba wala sio shida.
 
Wenzako wote waliofika group stages msimu uliopita wamerudi tena group stages, wewe tu umeishia preliminary stages, hii inadhihisha na kuthibitisha u underdog wako, kumbe yaliyokuwa yanasemwa kwamba mechi za home ulikuwa unacheza faulu nje ya uwanja ni kweli, sasa ukakutana na kiboko yako Du-songo akakufanya huna hamu mkuu.
Uongo Horoya wapo wapi? St Constantine ,club africain na Js soura na lobi stars hawakwenda hata hiyo hatua ya awali
 
Mabingwa wa Nchi Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, anatarajia kucheza michezo mitatu ya kirafiki dhidi ya Bandari FC, kutoka nchini Kenya, Mashujaa United ya Kigoma na Black Eagles FC kutoka Burundi, kabla ya kuendelea na ligi kuu ya Tanzania Vodacom Premier League VPL.

Simba SC, itaanza kucheza mchezo wake wa kwanza dhidi Bandari FC, Oktoba 12, 2019 kwenye Uwanja wa Taifa, kisha klabu ya Simba SC itaondoka kuelekea Kigoma kuwafuata Mashujaa United na kucheza nao mchezo Oktoba 14, 2019 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika.

Simba SC, itamaliza ziara yake ya mechi za kujipima nguvu kwa kuingia tena dimbani Oktoba 16, 2019 kupepetana na Black Eagles ya Burundi kwenye Uwanja huo huo Lake Tanganyika.

•••Usikose Ukaambiwa..Simba SC yenye kusakata kandanda safi lenye viwango wa Shirikisho la soka Afrika CAFView attachment 1226560View attachment 1226561[/b]
Baada ya hapo mnafuzu hatua ya makundi ya ndondo cup quarter final
 
Wenzako wote waliofika group stages msimu uliopita wamerudi tena group stages, wewe tu umeishia preliminary stages, hii inadhihisha na kuthibitisha u underdog wako, kumbe yaliyokuwa yanasemwa kwamba mechi za home ulikuwa unacheza faulu nje ya uwanja ni kweli, sasa ukakutana na kiboko yako Du-songo akakufanya huna hamu mkuu.
Watakuja mbumbumbu kupinga hili
 
Nasikia kuna wachezaji wesimamishwa kwa utomvu wa nidhamu, vipi hujasikia hizi?
Hawajalipwa signing fees,Gadiel,Nyoni,Chama na Mkude japo wao wana sema ni utovu wa nidhamu ila mshiko wanadai
 
Back
Top Bottom