Kweli mdau ukiingia ndani ya ilo basi we huna tofauti na mtu aliepanda behewa la treni la economy mamaeee lipo ovyo mno halina mvuto hata kidogo...........Zile Yutong zilitolewa na Wadhamini wa Bia ya Kilimanjaro na soyo Sportpesa! Sportpesa waliweka tu chata zao baada ya Kilimanjaro kumaliza mkataba na hizo timu mbili kongwe nchini.
By the way, hao TATA wana siti za hovyo sana ukilinganisha na Yutong. Siti kama madawati ya primary!!
Tata hawapigi stika kama michina....Ninachojiuliza yaani simba haijafikia hatua ya kuagiza basi huko kiwandani wakapigiwa rangi wanayotaka hadi wasubiri kuja kubandika stika?
[emoji16][emoji16][emoji16]Kama porte inaenda mpaka bukoba iyo itashindwa vipi?
Hahahahaha yutong mayai zile likifika miaka mitano tu halifai kulitazama ni kilimanjaro tu ndio kaitunza haswa ile yutong yake....katunzaje tunzaje mie sijuiHahaha ww tata huiju angalia documentary za nepal huko kuna milima hiyo yutong utaitupa ila tata inatoboa hilo ni gari mkuuu usikalilishwe.
Tatizo unaongea kama umekatika kichwa... tangu lini Tata ikawa bora kuliko yutong.... yutong model gani kwanza unayoiongelea hapa ya kuifanyananisha na hio tata [emoji1]Tata bus ni expensive kuliko yutong ya nchina....
Na hata kwa ukumbwa kampuni ya Tata ni kampuni kubwa ya magari kuliko kampuni ya yutong
Siku nyingine uje na maelezo ya namna wanachama na mashabiki wa club huwa wananufaikaje na club yao na utoe mfano no club ipi huwa inawagawia wanachama wao pesa, nyie kwa Yanga mshapokea sh. ngapi?Kwani hilo TATA mnalotulingishia hapa, si nalo ni hisani ya Mwamedi! Au mmenunua kwa hela zenu za pango ya lile jengo lenu pale Kariakoo? Mbona unataka uitwe mbumbumbu bila sababu za msingi?
Mnanunuliwa TATA halafu jamaa anajaza machata ya biashara zake! Ananufaika! Nyinyi mnaishi tu kutoka majasho ya makwapani uwanjani mkishangilia.
Bilioni 20 mpaka leo bado ni kitendawili. Hazina tofauti kabisa na zile milioni 50 za magufuli za kwenye kila kijiji!
Hizo Tata MAGNA zipo zimeshafeli kitambo sana hapo hakuna gari mkuu ni bora wangenunua hata asiastar kwa safari za wiki wiki linawafaa kuliko hio bajajiNiwatoe hofu tata wana gari za kila kiwango kulingana na bajeti yako.
Turudi kwenye biashara katika sports industry: Simba ni brand kubwa sana tz na nje kwasasa, tata wanabranch nyingi tz mpaka mikoani.
Nategemea kuwa simba wameingia mkataba na tata ili kuitangaza tata, na hilo basi simba wamepewa ili watangaze aina hiyo ya mabasi nchini. Kwahiyo simba amepewa fedha na basi. Nikisikia basi limenunuliwa basi nitaendelea kuamini kuna watu wananufaika nyuma ya pazia.
Mfano Manchester United ilipoingia mkataba na audi kila mchezaji alipewa gari aina ya audi na fedha kwa timu.
We ambaye ni mwananchi unaingiza kiasi gani kwa mwezi kwenye klabu yako ya utopolo?Kwani hilo TATA mnalotulingishia hapa, si nalo ni hisani ya Mwamedi! Au mmenunua kwa hela zenu za pango ya lile jengo lenu pale Kariakoo? Mbona unataka uitwe mbumbumbu bila sababu za msingi?
Mnanunuliwa TATA halafu jamaa anajaza machata ya biashara zake! Ananufaika! Nyinyi mnaishi tu kutoka majasho ya makwapani uwanjani mkishangilia.
Bilioni 20 mpaka leo bado ni kitendawili. Hazina tofauti kabisa na zile milioni 50 za magufuli za kwenye kila kijiji!
Hapana sidhani Kama kawawazia mabaya,naona Kama ametoa tahadhari vile.Ndugu yangu mpira usitufikishe kwenye kuwazia mabaya. Hao unaowaza hilo gari litawachinja wana familia pia.
Tatizo unaongea kama umekatika kichwa... tangu lini Tata ikawa bora kuliko yutong.... yutong model gani kwanza unayoiongelea hapa ya kuifanyananisha na hio tata [emoji1]
Mo kafail sana kashindwa kuwachukulia bus luxury na nzuri kama benz,Scania,zhongtong,dragon au hata yutong 12 plus upgrade zimetoka mayai kabisa
Kwa taarifa yako hio tata ukitoa body lililosukwa na marcopolo vilivyobakia ni matatizo makubwa
Zile Yutong zilitolewa na Wadhamini wa Bia ya Kilimanjaro na soyo Sportpesa! Sportpesa waliweka tu chata zao baada ya Kilimanjaro kumaliza mkataba na hizo timu mbili kongwe nchini.
By the way, hao TATA wana siti za hovyo sana ukilinganisha na Yutong. Siti kama madawati ya primary!!
Acha TuIna maana Yanga bado wanatumia basi la Hisani?
Halafu ndani lina kelele kama mashine ya Kusaga au powertellerTatizo unaongea kama umekatika kichwa... tangu lini Tata ikawa bora kuliko yutong.... yutong model gani kwanza unayoiongelea hapa ya kuifanyananisha na hio tata [emoji1]
Mo kafail sana kashindwa kuwachukulia bus luxury na nzuri kama benz,Scania,zhongtong,dragon au hata yutong 12 plus upgrade zimetoka mayai kabisa
Kwa taarifa yako hio tata ukitoa body lililosukwa na marcopolo vilivyobakia ni matatizo makubwa
Nasikia wameshaichukua basi lao,wanatembelea coasterHuyo Mwamedi ataipata wapi hiyo jeuri! Usikute hata hilo TATA lenyewe akawa amekopa tu kwa hao ndugu zake kuch kuch hotae!