permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Wanajipima nguvu na Mbuni Fc ila ndio wanaoongoza ligi. Wazururaji wamekomaa hawana mpinzani katika nafasi ya pili.Simba timu kubwa yenye mipango inayoeleweka... siyo kama wale jamaa wanajipima na timu kama Mbuni FC uwani kwao Kigamboni.
Sasa ukiwauliza huko Dubai wameenda kwenye Pre season, au!! Ila hii timu aisee!! 🤔
Utajuaje maana ya hiyo safari kama haupo CL? Uto bakini hapa hapa ndiyo levels zenu muendelee kugombana na Feisal mkisaidiwa na kina MgongolwaSasa ukiwauliza huko Dubai wameenda kwenye Pre season, au!! Ila hii timu aisee!! [emoji848]
Yaani inaendeshwa kama kilabu cha pombe za kienyeji!!
Inaonekana sindano imewaingia kisawasawa. PoleniSasa ukiwauliza huko Dubai wameenda kwenye Pre season, au!! Ila hii timu aisee!! 🤔
Yaani inaendeshwa kama kilabu cha pombe za kienyeji!!
Ona mmeshamuhusisha Karia.Tutatanguliza kikosi kilichoenda Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kicheze na Mbeya City.
Watu mnashindwa kuconnect dots. Simba hawakuwa na kikosi kibovu Zanzibar, ila Simba na Yanga wote waliona (kwa uamuzi wao au kwa maelekezo) ni wakati wa kuiachia timu ya Zanzibar ibebe kombe la Mapinduzi kumuenzi mama yenu.
Kwa moto wa sasa wa Simba, Mlandege angekula goli 5 kwa kikosi kilekile walichocheza nacho.
CSK Moscow ya KakonkoFIFA imezifungia klabu zote na timu ya taifa ya Urusi kushiriki michezo yoyote ya kimataifa ya mashindano au ya kirafiki kwa hiyo labda wanacheza na timu ya Kinondoni Moscow.Ikibainika Simba imecheza na timu kutoka Urusi TFF na Simba zitachukuliwa hatua kali sana na FIFA iKIwemo kufungiwa au faini.
Wewe Simba ilishaondoka kuwaza mechi na Yanga kitambo sana amka ndotoni....CSK Moscow watatupa mbinu za kuwakabiri Yanga SC na kuwashinda maana tuna mechi 6 dhidi yao hatujawafunga.
Hongera kwa viongozi wetu.
Ila CAF wanacheza kombe la looser!!Wanajipima nguvu na Mbuni Fc ila ndio wanaoongoza ligi. Wazururaji wamekomaa hawana mpinzani katika nafasi ya pili.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
NonsenseFIFA imezifungia klabu zote na timu ya taifa ya Urusi kushiriki michezo yoyote ya kimataifa ya mashindano au ya kirafiki kwa hiyo labda wanacheza na timu ya Kinondoni Moscow.Ikibainika Simba imecheza na timu kutoka Urusi TFF na Simba zitachukuliwa hatua kali sana na FIFA iKIwemo kufungiwa au faini.
Sasa ukiwauliza huko Dubai wameenda kwenye Pre season, au!! Ila hii timu aisee!! [emoji848]
Yaani inaendeshwa kama kilabu cha pombe za kienyeji!!
Si mlimtanguliza huko Dubai, illi mwisho wa siku muwakere Yanga!! Haya mumtambulishe sasa!Utajuaje maana ya hiyo safari kama haupo CL? Uto bakini hapa hapa ndiyo levels zenu muendelee kugombana na Feisal mkisaidiwa na kina Mgongolwa
Abu Dhabi ya niokoooNi kweli mimi nipo hapa Abu Dhabi, mimi na wenzangu ambao ni madereva bajaj tuna timu yetu ya mtaani tumeipa jina CSKA MOSCOW, tutacheza mechi ya kirafiki na timu moja kutoka Africa huko nadhani ndio hao simbwa, huku wanaitwa mbumbumbu f.c. Karibuni nyote mje muone mechi nzuri kati yao na sisi madereva bajaj wa hapa UAE.
Tafuta mume uolewe acha kuishi kwa shemejiCSK Moscow watatupa mbinu za kuwakabiri Yanga SC na kuwashinda maana tuna mechi 6 dhidi yao hatujawafunga.
Hongera kwa viongozi wetu.
Hakuna bodi ya ligi kaa kwa kutuliaKuna uwezekano mkubwa hata ratiba ya NBC hawaijui kama imefanyiwa mabadiliko kama vile walivyokuwa hawafahamu Mapinduzi cup wanacheza michezo miwili tu. Leo tarehe 10 wanasiku saba za kujiandaa na mechi ya ligi kuu jumlisha safari jumlisha kupumzika kutokana na uchovu wa safari. Hakuna cha maana kilichofuatwa, sasa wanafosi kuonekana kuna cha maana kilicholengwa nayo ni friend match. Ngoja tuone bodi ya ligi itahairisha mechi kwasababu kuwasikiliza wazuraji au watasimamia msimamo wao wa ratiba.
Loser, sio looser.
Hakuna Kinondoni Moscow BALI kuna Kindoni MosqueFIFA imezifungia klabu zote na timu ya taifa ya Urusi kushiriki michezo yoyote ya kimataifa ya mashindano au ya kirafiki kwa hiyo labda wanacheza na timu ya Kinondoni Moscow.Ikibainika Simba imecheza na timu kutoka Urusi TFF na Simba zitachukuliwa hatua kali sana na FIFA iKIwemo kufungiwa au faini.
Hivi utopolo si mlisema mna mkataba na La Liga, mbona hatuioni hata Valladolid ikija bongo ?CSK Moscow watatupa mbinu za kuwakabiri Yanga SC na kuwashinda maana tuna mechi 6 dhidi yao hatujawafunga.
Hongera kwa viongozi wetu.
basi turudi kwenye naudhuiLooser ndiyo mdudu gani! Unajua maana ya looser wewe! Loose ni kulegeza iwe kamba au kitu chochote kilichojikaza, sasa looser nijibu ni nini? Kwa nini nchi hii hata maneno ya kawaida yanakuwa ni shida kwa vijana wengi kuandika spelling zake kwa maana ambayo ni potofu? Niambie tofauti ya Looser na Loser kwa kukusaidia!