Simba SC kukipiga na CSKA Moscow

Simba SC kukipiga na CSKA Moscow

Tutatanguliza kikosi kilichoenda Zanzibar kwenye Mapinduzi Cup kicheze na Mbeya City.

Watu mnashindwa kuconnect dots. Simba hawakuwa na kikosi kibovu Zanzibar, ila Simba na Yanga wote waliona (kwa uamuzi wao au kwa maelekezo) ni wakati wa kuiachia timu ya Zanzibar ibebe kombe la Mapinduzi kumuenzi mama yenu.

Kwa moto wa sasa wa Simba, Mlandege angekula goli 5 kwa kikosi kilekile walichocheza nacho.
Ona mmeshamuhusisha Karia.
 
FIFA imezifungia klabu zote na timu ya taifa ya Urusi kushiriki michezo yoyote ya kimataifa ya mashindano au ya kirafiki kwa hiyo labda wanacheza na timu ya Kinondoni Moscow.Ikibainika Simba imecheza na timu kutoka Urusi TFF na Simba zitachukuliwa hatua kali sana na FIFA iKIwemo kufungiwa au faini.
CSK Moscow ya Kakonko
 
FIFA imezifungia klabu zote na timu ya taifa ya Urusi kushiriki michezo yoyote ya kimataifa ya mashindano au ya kirafiki kwa hiyo labda wanacheza na timu ya Kinondoni Moscow.Ikibainika Simba imecheza na timu kutoka Urusi TFF na Simba zitachukuliwa hatua kali sana na FIFA iKIwemo kufungiwa au faini.
Nonsense
 
Sasa ukiwauliza huko Dubai wameenda kwenye Pre season, au!! Ila hii timu aisee!! [emoji848]

Yaani inaendeshwa kama kilabu cha pombe za kienyeji!!

Ombaomba na mawazo ya kimaskini itawaua roho mbaya
 
Utajuaje maana ya hiyo safari kama haupo CL? Uto bakini hapa hapa ndiyo levels zenu muendelee kugombana na Feisal mkisaidiwa na kina Mgongolwa
Si mlimtanguliza huko Dubai, illi mwisho wa siku muwakere Yanga!! Haya mumtambulishe sasa!
 
Ni kweli mimi nipo hapa Abu Dhabi, mimi na wenzangu ambao ni madereva bajaj tuna timu yetu ya mtaani tumeipa jina CSKA MOSCOW, tutacheza mechi ya kirafiki na timu moja kutoka Africa huko nadhani ndio hao simbwa, huku wanaitwa mbumbumbu f.c. Karibuni nyote mje muone mechi nzuri kati yao na sisi madereva bajaj wa hapa UAE.
Abu Dhabi ya niokooo
 
CSK Moscow watatupa mbinu za kuwakabiri Yanga SC na kuwashinda maana tuna mechi 6 dhidi yao hatujawafunga.

Hongera kwa viongozi wetu.
Tafuta mume uolewe acha kuishi kwa shemeji
 
Kuna uwezekano mkubwa hata ratiba ya NBC hawaijui kama imefanyiwa mabadiliko kama vile walivyokuwa hawafahamu Mapinduzi cup wanacheza michezo miwili tu. Leo tarehe 10 wanasiku saba za kujiandaa na mechi ya ligi kuu jumlisha safari jumlisha kupumzika kutokana na uchovu wa safari. Hakuna cha maana kilichofuatwa, sasa wanafosi kuonekana kuna cha maana kilicholengwa nayo ni friend match. Ngoja tuone bodi ya ligi itahairisha mechi kwasababu kuwasikiliza wazuraji au watasimamia msimamo wao wa ratiba.
Hakuna bodi ya ligi kaa kwa kutulia
 
FIFA imezifungia klabu zote na timu ya taifa ya Urusi kushiriki michezo yoyote ya kimataifa ya mashindano au ya kirafiki kwa hiyo labda wanacheza na timu ya Kinondoni Moscow.Ikibainika Simba imecheza na timu kutoka Urusi TFF na Simba zitachukuliwa hatua kali sana na FIFA iKIwemo kufungiwa au faini.
Hakuna Kinondoni Moscow BALI kuna Kindoni Mosque
 
Ila CAF wanacheza kombe la looser!!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app

Looser ndiyo mdudu gani! Unajua maana ya looser wewe! Loose ni kulegeza iwe kamba au kitu chochote kilichojikaza, sasa looser nijibu ni nini? Kwa nini nchi hii hata maneno ya kawaida yanakuwa ni shida kwa vijana wengi kuandika spelling zake kwa maana ambayo ni potofu? Niambie tofauti ya Looser na Loser kwa kukusaidia!
 
CSK Moscow watatupa mbinu za kuwakabiri Yanga SC na kuwashinda maana tuna mechi 6 dhidi yao hatujawafunga.
Hongera kwa viongozi wetu.
Hivi utopolo si mlisema mna mkataba na La Liga, mbona hatuioni hata Valladolid ikija bongo ?
 
Looser ndiyo mdudu gani! Unajua maana ya looser wewe! Loose ni kulegeza iwe kamba au kitu chochote kilichojikaza, sasa looser nijibu ni nini? Kwa nini nchi hii hata maneno ya kawaida yanakuwa ni shida kwa vijana wengi kuandika spelling zake kwa maana ambayo ni potofu? Niambie tofauti ya Looser na Loser kwa kukusaidia!
basi turudi kwenye naudhui
 
Back
Top Bottom