Simba SC kukipiga na CSKA Moscow

Hizo ni timu za mataifa tofauti tofauti watakazocheza nazo.
 
TFF haiwezi kukubali ifungiwe, hao simba ndo watashushwa madaraja mawili wakacheze hizo ndondo Cup vizuri
 

Kinondoni Mosique, sio Kinondoni Moscow.
 
Mmgh hiyo team ya akina Putin si-imefungiwa mechi za kinataifa na Kirafiki?

Hii imekaaje kidiplomasia? Wajuvi wa masuala ya kimataifa njooni hapa!
 
Mi mwenyewe sijajua na Club mpaka saizi sijaona taarifa rasmi ya wapi tunaweza kuiona hii mechi

Au ndio tutakuwa tunapewa update ya gizani
Azam hawawezi kufanya kama kipindi kile Sudan..ngoja tusubiri
 
Mi mwenyewe sijajua na Club mpaka saizi sijaona taarifa rasmi ya wapi tunaweza kuiona hii mechi

Au ndio tutakuwa tunapewa update ya gizani
Hakuna dalili ya mechi kuoneshwa. Subiri tu matokeo na subiri kuiangalia live timu yako tarehe 18 kwenye mechi dhidi ya Mbeya city
 
Naona Azam ni miongoni mwa wadhamini..uwezekano wa kuionyesha ni mkubwa
Azam mechi kama anaonesha huwa lazima aiweke kwenye ukurasa wao na kuitangaza. Hapo wamekaa kama wadhamini ila mechi hawaoneshi. Rejea preseason ya Misri, Azam tv waliwekwa kama tu wadhamini ila hakuna mechi iliyooneshwa
 
Reactions: BRN
Azam hawawezi kufanya kama kipindi kile Sudan..ngoja tusubiri
Aah sio rahisi nadhani labda kama media za huko ziamue kufanya broadcast afu sisi tupewe tu taarifa kuwa channel gani au sehemu gani tutakayoweza kucheki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…