Wapewe Tp mazembe ili wabokolewe tena kama ile siku yao.We unataman wapewe timu gan hapo?πππ
Simba hawezi kupangwa na TP Mazembe ..hatua inayofuata inazikutanisha timu zilizotolewa Champions League na timu za Confederations CupWapewe Tp mazembe ili wabokolewe tena kama ile siku yao.
Timu zilizopo kwenye Confederation ndio ngumu zaidi Coz wameweza kucheza mechi nne na kufanikiwa kuendelea kuwepo kwenye mashindanoSimba hawezi kupangwa na TP Mazembe ..hatua inayofuata inazikutanisha timu zilizotolewa Champions League na timu za Confederations Cup
Mipango mkuu hata wale Al-Ahally huwa hawakutani na tim ngumu hatua za mtoano.Caf huwa wanaipendelea sana mikia sijui kuna nini, hapo utashangaa anapangiwa cs sfaxien au cotton sport
Kapewa kibonde zaidi ya J. GalaxyKashapewa Arrow reds ya πΏπ²
Kibonde wapi, saivi mikia hawana timu. Kama anakaziwa na Dodoma jiji, hiyo Arrow β‘ reds kwa nn isiwapige? Hata Jwaneng Galaxy mlisema hivyohivyo. Kiko wapi sasa? πKapewa kibonde zaidi ya J. Galaxy
Mlisema hivohivo kwa Jwaneng Galaxy πWatajipigia tu wazambia hawana mpira πππ
Aah bwana ndugu yangu akili yangu nzito ungenishtua nisitoe siri. Hawa red arrows ni vibonde sana. Tena watapigwa 5 kwa mkapa na kwao watakula 3.Nayajaza upepo Makolo yaende kichwa kichwa tena.
kweli kabisaπ€£π€£π€£π€£π€£THIS IS SIMBA BRO.