Lior
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 1,617
- 3,697
Nafanya utani kumbe uko serious 😅😅mzize ame assist goli ngapi??
5 - 1 . mzize aliwafungua sana. Acha kukaza, kibu sio quality ya kumuweka benchi mzize.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafanya utani kumbe uko serious 😅😅mzize ame assist goli ngapi??
5 - 1 . mzize aliwafungua sana. Acha kukaza, kibu sio quality ya kumuweka benchi mzize.
Nafanya utani kumbe uko serious 😅😅
Huo ni ujinga.🚮
Yan boka mechi moja unamfananisha na mtu ana season 6+?wapi atacheza pale yanga??
boka kwa zingwe. una utani ww
Yan boka mechi moja unamfananisha na mtu ana season 6+?
Sawa time will tellHussen kiwango hana. I watched him recently. kiwango kwisha.
boka is way better than hussein ever was.
huu ushabiki sio ukweliYan boka mechi moja unamfananisha na mtu ana season 6+?
Hivi Kati ya Chama na Aziz ki nani zaidi? Tuanzie hapo kwanza.mtaje mchezaji?? hata mmoja ligi hii ya nbc.
Ngoja hata ligi ichanganye mkuumtaje mchezaji?? hata mmoja ligi hii ya nbc.
Huu 'Utopolo' uliomwaga hapa dah! Unaanza kumpa credit baada ya kutakiwa na Wydad?!1. Tuwe wa kweli, Simba pale nani ana profile kama Mzize? Sio simba tu hata azam fc nani? Hamna
2. ligi nzima nani? Amna.
Mzize ni bonge moja la mchezaji, ni yanga tu ina alot of stars. Na bado mzize anapata number. Hivi mnajua kupata number yanga ni kazi kweli kweli. Also
3. Simba nani ananza first 11 ya Yanga? Hamna.
4. Ligi nzima nani anaweza join first 11 ya Yanga? Hamna.
So far hii ligi amna mchezaji hata mmoja anaanza first 11 ya yanga. hata simba. hussein, malone na Debora wanaweza kukaa bench la Yanga . tena mechi za matopeni sio muhimu. wakicheza sana mechi 3 per season.
Tuweni serious. Gab ni kubwa sana. it's alarming.
Mzize ni Underated sana lakini ni bonge la player , hata zile 5 against Kolo alitoa Mchango mkubwa sana .Harafu uzuri wake huwa anajirekebisha mara kwa mara ndio hivyo haimbwi sana na Mashabiki.ukiweza njoo na data.
from scoring to dribbling to tackles.
amna ligi hii mchezaji anamfikia mzize. kama yupo mtaje?? sema asiwe wa yanga??
Leo yamekua hayo? Si ulisema ni sajili mbovu za huyo bokaka...wapi atacheza pale yanga??
boka kwa zingwe. una utani ww
Huu 'Utopolo' uliomwaga hapa dah! Unaanza kumpa credit baada ya kutakiwa na Wydad?!
Kweli wenye 'AKILI' ni wawili tu.
simba fikeni cafcc finalTimu bora ni mafanikio. Ila mpaka sasa hakuna cha maana uto ilichofanikiwa kuizidi simba. Uto ni timu ya kawaida sana.
Fikeni robo fainali 4 au mvuke robo CAF champions ndio mpige kelele. Hakuna timu ya maana inayotamani kushiriki shirikisho.Kwa sasa hamna mnachoizidi simba ila nyinyi ndio mnazidiwa kimafanikio.simba fikeni cafcc final
quarter finals 4x sio mafanikio. this is a wack record. probably yanga will go all the way to the final if they don't meet Al ahly.Fikeni robo fainali 4 au mvuke robo CAF champions ndio mpige kelele. Hakuna timu ya maana inayotamani kushiriki shirikisho.Kwa sasa hamna mnachoizidi simba ila nyinyi ndio mnazidiwa kimafanikio.
Chama alikuwa Simba na kaingia first eleven wakati huku Simba tushaona wa kawaida tu , una jipya jingine?mtaje nani?? mchezaji gani anaingia??