Simba SC kwa aibu kubwa ninayoiona inakuja na kwa upuuzi wa Ndola jana, tuwape Yanga SC nafasi yetu AFL ili wakaliheshimishe Taifa

Ni kweli Mtani.
Huu uzi umeutendea haki, umeongea kweli ya kweli bila kuingiza utani na upendeleo.
Andiko hili limfikie Mudy mfadhili wenu.

Ndg yako OKW BOBAN SUNZU naye amependekeza kocha aondoke kwani team ameishindwa.
Hongera mtani kweli una jicho la mpira.

Hawa wanao kukosoa moyoni deep down wanakuunga mkono sema ni waoga kukiri🤣🤣.

Lkn badilika uache matusi haipendezi
 
Asante Mtani kwa Love and sincere Credits zako za mara kwa mara Kwangu. Nalijua hilo na Ubarikiwe mno.
 
Bado haujasema..!!! Na utasema tu..!!! Yaani mpaka usemee..!!!

CC
Kalpana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…