Anaweza kuwa si kocha mzuri ndio ila kwa hili hata makocha wakubwa hukosea mahesabu na kuyasahihisha.Kocha ambaye umeshakaa na timu muda huwezi kushindwa kujua 11 eleven yako ya ushindi, iligoma ndipo ingiza super subs..
Hebu kunywa Soda hapo .....Ntalipia Niko NjianiIle mechi ya kwanza walicheza na KMC nilijua tu Yanga ni bingwa
Tumeshapata jibu kuwa shirikisho ilikuwa na timu ngumu kuliko za klabu bingwa. Yanga ametoka sare ya aggregate 2-2 na bingwa mkuu wa michuano ya CAF (CAF super cup)Yanga bado hajacheza na timu bora .
Mwaka jana kwenye looser cup alibahatika vibonde mwaka huu tena kapata vibonde.
Tuvute subira tuone makundi kama atapata upepo wa vibonde au vipi.
Napenda yanga apate kundi kama hili tuone huo mpira anaosema anakikosi imara kama atatoboa.
View attachment 2752222
Unategemea kweli Juha huyo akuelewe?Mkuu hata saa mbovu mara moja husema kweli.
Bandiko hili ni sahihi kabisa nisiwe mnafiki.
Alichoongea nimekishuhudia
Nimekuelewa Mtani nitalifanyia Kazi.Mtani kuna wakati unazingua sana.
Pili ukifanikiwa kuacha matusi utakuwa bora sana.
Una kilema kibaya cha matusi hili kwako pekee silipendi sana tu
Kwanini alimpanga akijua hana Uwezo huo? Acheni Kumtetea Kocha nae ni sehemu ya tatizo.Magoli aliyokosa baleke tatizo la kocha lilikua nini?
Hapa umejibu kiume, safiNimekuelewa Mtani nitalifanyia Kazi.
Mtani wangu Glenn dhihaka kama hii na Matusi mengine ninayotukanwa Kutwa ndiyo unataka niwe Mvumilivu nayo?Case closed mgonjwa matibabu yanaendelea vizuri... Muda wowote ataruhusiwa na jiandae kumpokea kutoka Dodoma!.
Ni kweli kabisa hiyo nafasi ipo kinachonipa maswali kwa aina Ile ya mechi ya jana huko simba aendako daah lile goli la 2 alinikwaza sana yule jamaa.Mkuu, Binafsi naona mechi ya jana kosa ni kocha alikosea kupanga kikosi 1st half. Alirekebisha hili kosa 2nd half. Goli la pili ni kosa la kipa. Simba ilikuwa na nafasi kubwa sana ya kushinda. Matokeo si mabaya. Nafasi ya kupita ni kubwa.
Unazingua ,angalau ya nn ,hivi mchezo uliangalia kweli Simba tujiandae kiakili pale hamna kituWamejitahidi angalau kutoa draw ugenini.
Stand up comedian wa cheka tu. Simkumbuki jinaKWANI kaanzisha nani huu msemo?
Naunga mkono hojaNi mwana Simba SC Mpumbavu ( Fool ) tu ambaye kwa Mpira mkubwa Unaochezwa sasa na Yanga SC ndiyo atakataa na atabisha kuwa Yanga SC hawaendi kuwa Mabingwa tena kwa Msimu huu na kwa mara ya Tatu mfululizo.
Mtani usijjibu tusi kwa tusi, mwqmbie hivi; bora mimi GENTAMYCINE nimeonyesha matumaini ya kuruhusiwa je wewe utqtoka lini mirembe??? 🤣🤣🤣🤣Mtani wangu Glenn dhihaka kama hii na Matusi mengine ninayotukanwa Kutwa ndiyo unataka niwe Mvumilivu nayo?
Mbona huwa huwasemi / huwaonyi wale Wapumbavu ( kama huyu ) ambao ndiyo huwa Wananianza kwa Kunichokoza kutwa hapa JamiiForums? Nikueleweje na Wewe?
Mtani usijjibu tusi kwa tusi, mwqmbie hivi; bora mimi GENTAMYCINE nimeonyesha matumaini ya kuruhusiwa je wewe utqtoka lini mirembe??? 🤣🤣🤣🤣Mtani wangu Glenn dhihaka kama hii na Matusi mengine ninayotukanwa Kutwa ndiyo unataka niwe Mvumilivu nayo?
Mbona huwa huwasemi / huwaonyi wale Wapumbavu ( kama huyu ) ambao ndiyo huwa Wananianza kwa Kunichokoza kutwa hapa JamiiForums? Nikueleweje na Wewe?
Lini ilikuwa 🙌😂Lakini walikandwa 2-0 na Simba kwenye ngao ya hisani.
Watajua hawajui na bado watapata tabu saaanaHapo bado hamjasema yaani mpaka msemeView attachment 2752103
Kwa Kanoute nakuunga mkono.Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.
Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo