Simba SC kwa aibu kubwa ninayoiona inakuja na kwa upuuzi wa Ndola jana, tuwape Yanga SC nafasi yetu AFL ili wakaliheshimishe Taifa

Simba SC kwa aibu kubwa ninayoiona inakuja na kwa upuuzi wa Ndola jana, tuwape Yanga SC nafasi yetu AFL ili wakaliheshimishe Taifa

Walee wazee wa kusikia habari mbaya za Simba siwaoni humu wakikuondolea jina lako walilokubatiza la upopoma...naona meno yote nje hukoo...
Ila Simba itafika kote huko na ubingwa NBC tunaupata...
 
Yanga bado hajacheza na timu bora .


Mwaka jana kwenye looser cup alibahatika vibonde mwaka huu tena kapata vibonde.


Tuvute subira tuone makundi kama atapata upepo wa vibonde au vipi.


Napenda yanga apate kundi kama hili tuone huo mpira anaosema anakikosi imara kama atatoboa.


View attachment 2752222
Tumeshapata jibu kuwa shirikisho ilikuwa na timu ngumu kuliko za klabu bingwa. Yanga ametoka sare ya aggregate 2-2 na bingwa mkuu wa michuano ya CAF (CAF super cup)
Bingwa wa klabu bingwa juzi katepeta kwa USM Alger, sasa wewe endelea kuamini timu zinazofungwa na Yanga ni vibonde
IMG_20230915_223905.jpg
IMG_20230917_153732.jpg
 
Hili ni wazi kabisa gentamycine mwanetu umevuka mipaka ......umefikia hatua kabisa ya kiwaponda Hadi wachezaji ....


Wachezaji ni watu wa kuwapa moyo Kila siku iitwayo leo sioni sababu kabisa ya kuponda wachezaji wetu Hawa ...

Timu yetu inshort ipo imara na tutegemee makubwa kutoka Kwa wachezaji wetu inshallah tutafanya vizuri mashindano yote
 
Case closed mgonjwa matibabu yanaendelea vizuri... Muda wowote ataruhusiwa na jiandae kumpokea kutoka Dodoma!.
Mtani wangu Glenn dhihaka kama hii na Matusi mengine ninayotukanwa Kutwa ndiyo unataka niwe Mvumilivu nayo?

Mbona huwa huwasemi / huwaonyi wale Wapumbavu ( kama huyu ) ambao ndiyo huwa Wananianza kwa Kunichokoza kutwa hapa JamiiForums? Nikueleweje na Wewe?
 
Mkuu, Binafsi naona mechi ya jana kosa ni kocha alikosea kupanga kikosi 1st half. Alirekebisha hili kosa 2nd half. Goli la pili ni kosa la kipa. Simba ilikuwa na nafasi kubwa sana ya kushinda. Matokeo si mabaya. Nafasi ya kupita ni kubwa.
Ni kweli kabisa hiyo nafasi ipo kinachonipa maswali kwa aina Ile ya mechi ya jana huko simba aendako daah lile goli la 2 alinikwaza sana yule jamaa.
 
Mtani wangu Glenn dhihaka kama hii na Matusi mengine ninayotukanwa Kutwa ndiyo unataka niwe Mvumilivu nayo?

Mbona huwa huwasemi / huwaonyi wale Wapumbavu ( kama huyu ) ambao ndiyo huwa Wananianza kwa Kunichokoza kutwa hapa JamiiForums? Nikueleweje na Wewe?
Mtani usijjibu tusi kwa tusi, mwqmbie hivi; bora mimi GENTAMYCINE nimeonyesha matumaini ya kuruhusiwa je wewe utqtoka lini mirembe??? 🤣🤣🤣🤣
 
Mtani wangu Glenn dhihaka kama hii na Matusi mengine ninayotukanwa Kutwa ndiyo unataka niwe Mvumilivu nayo?

Mbona huwa huwasemi / huwaonyi wale Wapumbavu ( kama huyu ) ambao ndiyo huwa Wananianza kwa Kunichokoza kutwa hapa JamiiForums? Nikueleweje na Wewe?
Mtani usijjibu tusi kwa tusi, mwqmbie hivi; bora mimi GENTAMYCINE nimeonyesha matumaini ya kuruhusiwa je wewe utqtoka lini mirembe??? 🤣🤣🤣🤣
 
Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.

Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo
Kwa Kanoute nakuunga mkono.
 
Back
Top Bottom