Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hauna akili hao wakubwa wako uyo Al Ahly si kafungwa juzi na timu ilikuwa kwenye ilo kombe la looser cup heshimu mpira acha uchoko kama mwaliYanga bado hajacheza na timu bora .
Mwaka jana kwenye looser cup alibahatika vibonde mwaka huu tena kapata vibonde.
Tuvute subira tuone makundi kama atapata upepo wa vibonde au vipi.
Napenda yanga apate kundi kama hili tuone huo mpira anaosema anakikosi imara kama atatoboa.
View attachment 2752222
Huyo hana akili ndo maana anaongea pumba alafu eti analiiita kombe la looser huyo si sio mzimaTumeshapata jibu kuwa shirikisho ilikuwa na timu ngumu kuliko za klabu bingwa. Yanga ametoka sare ya aggregate 2-2 na bingwa mkuu wa michuano ya CAF (CAF super cup)
Bingwa wa klabu bingwa juzi katepeta kwa USM Alger, sasa wewe endelea kuamini timu zinazofungwa na Yanga ni vibonde View attachment 2752325View attachment 2752326
Bora wew umeongea ukweliNi ukweli mchungu kwamba Simba yetu jana imecheza mpira wa kipuuzi na kuruhusu magoli ya kijinga kama yale. Kazi tunayo kwa kweli. Kapombe na mwenzie Muhamed Hussein watafutwe mbadala sasa. Wapo chini ya kiwango sana, ama wanaamua kucheza chini ya kiwango wakiamini hakuna replacement.
kikosi kibovu,beki zinavujishaKwa Timu ile ya Power Dynamos FC ni ya kutoa Sare nayo Kweli Mkuu? Tusifiche ukweli kuwa Simba SC bado tunajitafuta na tuna Kikosi dhaifu Kimashindano.
Mpumbavu wewe hujui ulichokiandika. Chelsea kavukuza makocha wanne ndani ya misimu miwili, kapata kipi cha maana?.Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.
Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo nisiyempenda na nilishauri aachwe ila Wazee wa 10% wakambakisha Kanoute, Mshambuliaji anayemtesa Kiutamaduni (
Huwezi kushinda kila mechi, huwezi kucheza kwa kiwango bora kila mechi. Huu ni mpira sio karata.Tatizo la simba sio wachezaji ni coach hajui kutumia wachezaji wake vizuri.
Pale ni ugenini na yule ni bingwa wa Zambia, sio bingwa wa Somalia au Ethiopia.Baada ya kuwaomba Wasitukazie ( Wasitubanie ) ili tuwafunge na Mashabiki tuone tumesajili Majembe wakati kumbe tumesajili Takataka tupu tu.
Matokeo ya Simba SC jana yamenivuruga mno Mkuu kwani kila tukishauri tunapuuzwa halafu Mijitu Mipumbavu ndiyo inaaminika na kuwa Waandamizi wa Klabu yetu.
Simba ikianza kushinda uje na uzi unaozungumzia mabadiliko ya uchezaji wao, usiishie lawama tu. Hiyo ni kazi nyepesi sana.Kuliko Aliyekuzaa?
Ukisema kweli itakuweka huru. Safi kiongozi be blessed[emoji120]Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.
Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo am FC wao nikiwapa 1% tu.
Nimelala na Machungu mengi sana.
Shida yenu wagonjwa huwa hamjikubali kuwa mu-wagonjwa hivyo nikupongeze kwa kupona japo najua kwa siku moja, ikikupendeza endelea kumeza dawa kwa ufasaha. Wiki nzima umekimbia dose tunashukuru mganga amekuovadozi walau utimamu wa Leo umepatikana.😅Mtani wangu Glenn dhihaka kama hii na Matusi mengine ninayotukanwa Kutwa ndiyo unataka niwe Mvumilivu nayo?
Mbona huwa huwasemi / huwaonyi wale Wapumbavu ( kama huyu ) ambao ndiyo huwa Wananianza kwa Kunichokoza kutwa hapa JamiiForums? Nikueleweje na Wewe?
KweliNi kweli kabisa hiyo nafasi ipo kinachonipa maswali kwa aina Ile ya mechi ya jana huko simba aendako daah lile goli la 2 alinikwaza sana yule jamaa.
Kocha nae ni tatizo lingineKwa Timu ile ya Power Dynamos FC ni ya kutoa Sare nayo Kweli Mkuu? Tusifiche ukweli kuwa Simba SC bado tunajitafuta na tuna Kikosi dhaifu Kimashindano.
Usipokunywa zile dawa zako akili huwa haitulii kabisa angalau sasa unaandika ukaeleweka.Ni mwana Simba SC Mpumbavu ( Fool ) tu ambaye kwa Mpira mkubwa Unaochezwa sasa na Yanga SC ndiyo atakataa na atabisha kuwa Yanga SC hawaendi kuwa Mabingwa tena kwa Msimu huu na kwa mara ya Tatu mfululizo.
Tulishawaambia simba ile mechi sio kipimo cha kujisifia simba mpira wenu ni mbovu snLakini walikandwa 2-0 na Simba kwenye ngao ya hisani.
Mkuu ni ukweli kuwa kule ni ugenini. Lakini wale jamaa kipindi cha pili ilikuwa wafe hata nne au tano. Baleke amekosa chance nyingi Sana kisa utulivu hakuna. Mimi binafsi timu iliniboa kabisa. From no where inapigwa counter attack tunafungwa goli la pili. Uzembe Sana huu. Machezaji yetu yameshajiona ni mastaa Sana kiasi ambacho vichwa vimevimba.Pale ni ugenini na yule ni bingwa wa Zambia, sio bingwa wa Somalia au Ethiopia.
Timu inaboa Sana kiongozi. Inakera to the maximum. GENTAMYCIME baadhi ya member wanamchukia lakini namkubali Sana mwamba kwa kuwachana ukweli(machezaji, viongozi, benchi la Ufundi na wengine kibao).Msimu huu sin hata mood na hii timu yangu mbovu
Yaani mastaa wengi lakini kocha wa hovyo