Simba SC kwa aibu kubwa ninayoiona inakuja na kwa upuuzi wa Ndola jana, tuwape Yanga SC nafasi yetu AFL ili wakaliheshimishe Taifa

Simba SC kwa aibu kubwa ninayoiona inakuja na kwa upuuzi wa Ndola jana, tuwape Yanga SC nafasi yetu AFL ili wakaliheshimishe Taifa

Yanga bado hajacheza na timu bora .


Mwaka jana kwenye looser cup alibahatika vibonde mwaka huu tena kapata vibonde.


Tuvute subira tuone makundi kama atapata upepo wa vibonde au vipi.


Napenda yanga apate kundi kama hili tuone huo mpira anaosema anakikosi imara kama atatoboa.


View attachment 2752222
Hauna akili hao wakubwa wako uyo Al Ahly si kafungwa juzi na timu ilikuwa kwenye ilo kombe la looser cup heshimu mpira acha uchoko kama mwali
 
Ni ukweli mchungu kwamba Simba yetu jana imecheza mpira wa kipuuzi na kuruhusu magoli ya kijinga kama yale. Kazi tunayo kwa kweli. Kapombe na mwenzie Muhamed Hussein watafutwe mbadala sasa. Wapo chini ya kiwango sana, ama wanaamua kucheza chini ya kiwango wakiamini hakuna replacement.
 
Tumeshapata jibu kuwa shirikisho ilikuwa na timu ngumu kuliko za klabu bingwa. Yanga ametoka sare ya aggregate 2-2 na bingwa mkuu wa michuano ya CAF (CAF super cup)
Bingwa wa klabu bingwa juzi katepeta kwa USM Alger, sasa wewe endelea kuamini timu zinazofungwa na Yanga ni vibonde View attachment 2752325View attachment 2752326
Huyo hana akili ndo maana anaongea pumba alafu eti analiiita kombe la looser huyo si sio mzima
 
Ni ukweli mchungu kwamba Simba yetu jana imecheza mpira wa kipuuzi na kuruhusu magoli ya kijinga kama yale. Kazi tunayo kwa kweli. Kapombe na mwenzie Muhamed Hussein watafutwe mbadala sasa. Wapo chini ya kiwango sana, ama wanaamua kucheza chini ya kiwango wakiamini hakuna replacement.
Bora wew umeongea ukweli
 
Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.

Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo nisiyempenda na nilishauri aachwe ila Wazee wa 10% wakambakisha Kanoute, Mshambuliaji anayemtesa Kiutamaduni (
Mpumbavu wewe hujui ulichokiandika. Chelsea kavukuza makocha wanne ndani ya misimu miwili, kapata kipi cha maana?.

Unapomuondoa Robertinho ujue kwamba unafukuza na wasaidizi wake wote, hizo pesa unaweza kuchangia gharama japo nusu tu?.

Watanzania tuna jamii ya kipumbavu sana, inajifanya inajua kila kitu.

Mambo ya mikataba tunayajua, mambo ya mpira tunayajua yaani kila kitu tunajidanganya kukifahamu wakati uwezo wetu wa elimu inayohusika ni mdogo sana kama sio sifuri kabisa.

Huwezi kumlinganisha Power Dynamos bingwa wa Zambia na EL Merreikh ya Sudan, ukiweza kuelewa kwa kina nini ninachomaanisha utauonea aibu huu uzi wako.
 
Baada ya kuwaomba Wasitukazie ( Wasitubanie ) ili tuwafunge na Mashabiki tuone tumesajili Majembe wakati kumbe tumesajili Takataka tupu tu.

Matokeo ya Simba SC jana yamenivuruga mno Mkuu kwani kila tukishauri tunapuuzwa halafu Mijitu Mipumbavu ndiyo inaaminika na kuwa Waandamizi wa Klabu yetu.
Pale ni ugenini na yule ni bingwa wa Zambia, sio bingwa wa Somalia au Ethiopia.
 
Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.

Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo am FC wao nikiwapa 1% tu.

Nimelala na Machungu mengi sana.
Ukisema kweli itakuweka huru. Safi kiongozi be blessed[emoji120]
 
Mtani wangu Glenn dhihaka kama hii na Matusi mengine ninayotukanwa Kutwa ndiyo unataka niwe Mvumilivu nayo?

Mbona huwa huwasemi / huwaonyi wale Wapumbavu ( kama huyu ) ambao ndiyo huwa Wananianza kwa Kunichokoza kutwa hapa JamiiForums? Nikueleweje na Wewe?
Shida yenu wagonjwa huwa hamjikubali kuwa mu-wagonjwa hivyo nikupongeze kwa kupona japo najua kwa siku moja, ikikupendeza endelea kumeza dawa kwa ufasaha. Wiki nzima umekimbia dose tunashukuru mganga amekuovadozi walau utimamu wa Leo umepatikana.😅
 
Ni mwana Simba SC Mpumbavu ( Fool ) tu ambaye kwa Mpira mkubwa Unaochezwa sasa na Yanga SC ndiyo atakataa na atabisha kuwa Yanga SC hawaendi kuwa Mabingwa tena kwa Msimu huu na kwa mara ya Tatu mfululizo.
Usipokunywa zile dawa zako akili huwa haitulii kabisa angalau sasa unaandika ukaeleweka.

Malizia dozi utapona tu[emoji3]
 
Pale ni ugenini na yule ni bingwa wa Zambia, sio bingwa wa Somalia au Ethiopia.
Mkuu ni ukweli kuwa kule ni ugenini. Lakini wale jamaa kipindi cha pili ilikuwa wafe hata nne au tano. Baleke amekosa chance nyingi Sana kisa utulivu hakuna. Mimi binafsi timu iliniboa kabisa. From no where inapigwa counter attack tunafungwa goli la pili. Uzembe Sana huu. Machezaji yetu yameshajiona ni mastaa Sana kiasi ambacho vichwa vimevimba.

Yaani wakiamua Leo tucheze mpira vizuri wanacheza na wakiamua kuwa slow na kuboronga wanafanya hivyo hivyo. Kuna jinga moja golini kwetu linajidai kuokoa mpira golini kwetu kistaa(pumbavu kabisa) mara mpira ukanaswa na mpinzani na kidogo tufungwe. Kapombe naye ameanza kucheza kizamani, anapiga micross tu ambayo hata haina impact yoyote Ile (ushenzi kabisa). Anatamani kumzidi David Beckham wakati uwezo umepungua na Aina ya uchezaji kwa soka la sasa hivi imechange.They have to change.

Kocha siwezi kumlaumu Sana japo anamapungufu Yake kiasi maana baadhi ya wachezaji wanamwangusha. Natamani awape discipline waache ujinga.
Samahani Sana kama nimeongea kwa ukali ila wachezaji wanaboa Sana.
Kipindi kile Haji Manara aliwachana ukweli kwamba Wana deni kubwa Sana kwa mashabiki na mwekezaji na hawana kisingizio chochote cha kufungwa kizembe zembe Kama Jana.
Wabadilike sio Siri.
[emoji120][emoji120]
 
Msimu huu sin hata mood na hii timu yangu mbovu
Yaani mastaa wengi lakini kocha wa hovyo
Timu inaboa Sana kiongozi. Inakera to the maximum. GENTAMYCIME baadhi ya member wanamchukia lakini namkubali Sana mwamba kwa kuwachana ukweli(machezaji, viongozi, benchi la Ufundi na wengine kibao).
Timu isipobadilika tunapata aibu kubwa Sana mwaka huu.
 
Back
Top Bottom