Simba SC kwa aibu kubwa ninayoiona inakuja na kwa upuuzi wa Ndola jana, tuwape Yanga SC nafasi yetu AFL ili wakaliheshimishe Taifa

Simba SC kwa aibu kubwa ninayoiona inakuja na kwa upuuzi wa Ndola jana, tuwape Yanga SC nafasi yetu AFL ili wakaliheshimishe Taifa

Ni mwana Simba SC Mpumbavu ( Fool ) tu ambaye kwa Mpira mkubwa Unaochezwa sasa na Yanga SC ndiyo atakataa na atabisha kuwa Yanga SC hawaendi kuwa Mabingwa tena kwa Msimu huu na kwa mara ya Tatu mfululizo.
Kwa Timu ile ya Power Dynamos FC ni ya kutoa Sare nayo Kweli Mkuu? Tusifiche ukweli kuwa Simba SC bado tunajitafuta na tuna Kikosi dhaifu Kimashindano.
Kuna ukweli fulani hapo.
 
Simba sjui kwann hawakusajili mbadala wa kapombe na tshabalala, mana Kwa jicho la kishabiki tu msimu ulopita ilifaa kabisa kusajili fundi haswa atakae fanya KAZI kuwapa Chachu Hawa jamaa.

Malogne ni mzuri taabu anafanya KAZI kubwa mno kiasi anakosa umakini na kuonekana kua na makosa flan yanayoweza garimu mchezo kiujumla. Apunguziwe majukum.

Hapa kwenye kiungo sasa ndo wavivu kupindukia namuona Mzamiru akijaribu kutuliza mshambulizi japo anagame zake.
 
Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.

Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo

Nimelala na Machungu mengi sana.
Simba kafanya haya uyaonayo leo kabla ya yanga kujulikana, Simba ameliheshimisha taifa kwa style hiihii labda kama ulkua bado hujazaliwa
 
Simba wana wachezaji wazuri kuliko yanga walichotuzidi yanga wachezaji wao wana fighting sprit. Wachezaji wa Simba hawajitumi wana usupastaa mwingi wengi hawana ndoto za kuchezea timu kubwa ndoto zoa zimefika Mwisho.
Hebu tuanze kuwalinganisha mchezaji mmoja mmoja tuone kama wachezaji wetu kama hata 3 tunaingiza first eleven timu zikiunganishwa.

Tuacheni mahaba jamani.
 
Simba wana wachezaji wazuri kuliko yanga walichotuzidi yanga wachezaji wao wana fighting sprit. Wachezaji wa Simba hawajitumi wana usupastaa mwingi wengi hawana ndoto za kuchezea timu kubwa ndoto zoa zimefika Mwisho.
Wangekuwa wanajituma Simba Jana angetoka na goli sio chini ya nne, halafu kocha hakuwa na sababu ya kumwacha kibu aendelee toka pale alipopiga mpira juu mawinguni , kocha alikuwa na sababu gani kuchelewesha Sub?
 
Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.

Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo
Kaka mkubwa! Hakika umechafukwa hata hivyo hongera kwa ushindi wa jana. Wenzako tumeshinda ugenini kotekote.
 
Ufunguzi wa hiyo Ligi ya Uteuzi utafanyika Dar es salaam tarehe 20 October kwa Mkapa ngoja tusubiri hao National ingawaje na wao hawana Timu pia niliona wakikimbizwa mno na Alger juzi..daah sema Simba upangaji wa Timu unawasumbua mno na yule Boko kama mnampenda mpeni asaidiane na Kocha benchi la ufundi kuliko kutembea tuu Uwanjani..
 
Yanga bado hajacheza na timu bora .


Mwaka jana kwenye looser cup alibahatika vibonde mwaka huu tena kapata vibonde.


Tuvute subira tuone makundi kama atapata upepo wa vibonde au vipi.


Napenda yanga apate kundi kama hili tuone huo mpira anaosema anakikosi imara kama atatoboa.


IMG_5033.jpg
 
Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.

Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo nisiyempenda na nilishauri aachwe ila Wazee wa 10% wakambakisha Kanoute, Mshambuliaji anayemtesa Kiutamaduni ( Kienyeji ) Mchezaji Mgeni ( Aubin Kramo ) kutoka Kwao Kigoma Kibu na Kiungo Mchezeshaji ambaye hana Msaada huo kwa Simba SC yetu ( japo jana Katufungia Magoli jana ) Clatous Chama, Kiungo Muzamiru ambaye naona ama Sifa zimemzidi au Siku hizi anavuta aina mpya ya Bangi kwani jana kacheza chini ya Kiwango sana na Winga ambaye nilipinga mno Kusajiliwa Kwake kwa kuijua Ligi ya Rwanda alikotoka ilikuwa ni dhaifu Onana ambaye hana Mpira huo, ila alichonacho kikubwa ni Kujiremba kama Mtoto wa Kike na akicheza Kitoto na Kipuuzi sana.

Naomba Barua ya Kufukuzwa Kocha Wetu Mkuu Roberto Oliveira iwe tayari kwani ni Kocha wa hovyo na mbovu mno.

Hivi Kocha unawezaje kuanza na Kanoute ambaye si Kiungo namba Sita Asilia wakati unae Kiungo Asilia na ni Fundi hasa Fabrice Ngoma?

Unajua fika kuwa Saido Ntibanzokinza katoka Kucheza Mechi ngumu ya Burundi na Cameroon na Kachelewa kujiunga na Timu Kambini, ana Fatigue na Jet Lag halafu Kocha ulivyo wa hovyo bado unampanga wakati una Uwezo wa kutompanga na kuwatumia Wachezaji wengine na Yeye ukaja Kumtumia Mechi ya Dar es Salaam ambapo atakuwa Fiti na kuwa Msaada Kikosini na Kiuchezaji pia.

Kwa Timu yangu ya Simba SC ilivyo mbovu na nilivyoipima Kiufundi Jana GEBTAMYCINE natamka rasmi hapa JamiiForums kuwa sina Timu ya kuwa Bingwa NBC Premier League ( 2023/2024 ), sina Timu ya kufanya vizuri katika Makundi ya CAFCL na sina Timu ya kufanya vyema katika Michuano mipya ya African Football League ( AFL ) hivyo nawaomba Simba SC ( Viongozi, Wanachama na Wapenzi ) kuwa kwa Uwezo mkubwa walionao Yanga SC na Uwezo mdogo wa Kikosi chetu ( cha Simba SC ) naomba hii nafasi yetu ya hili Kombe Jipya la AFL tuwape Yanga SC ambao nje ya Utani wetu ( wangu ) nao na GENTAMYCINE kuwachukia hapa JamiiForums ( hata wao wanajua ) kwakuwa Kiufundi na Kimchezo wanaweza kufanya vyema na kufika mbali, kuiheshimisha nchi tofauti na Sisi ( Simba SC ) ambao naiona inaenda kutia Aibu na Kufungwa nyingi na Al Ahly FC hata kama tutatumia wale Waganga Wetu wa Kienyeji Milioni.

Msituone Wengine akina GENTAMYCINE tuko tu hapa JamiiForums Kutwa na labda hatujui Mpira au hatujawahi Kuucheza kwa Kiwango.

Najuta kwanini nilipokuwa nacheza Mpira wa Kimashindano Shuleni Uganda, Msasani ( Uwanja wa Magunia ), Ilala Msimbazi Center na Timu ya Lumumba Rovers, Kawe na Kawe Rangers enzi hizo na Mechi za Ndondo nilikuwa Sijirekodi ili hawa Wachezaji Wapuuzi tajwa hapa na Kocha wenu Mbrazili ajue kuwa nilikuwa naujua, naupiga na huenda isingekuwa ni Mikwara ya Wazazi kutaka nisome ( nijikite Kielimu ) huenda leo hii GENTAMYCINE ningekuwa natizamwa tu na Watanzania nikiwa na ama Liverpool FC yangu ninayoishabikia au AC Milan niipendayo au Bayern Munich FC ninayoihusudu nikicheza Namba zangu nilizokuwa nazimudu mno za 2,3,4,6 na 11 mpaka Kupachikwa Jina maarufu la Mchezaji mkubwa Kipindi hicho ambalo nikilitaja hapa Wanaolijua wataijua rasmi hi ID Tukuka na Brand ya GENTAMYCINE ni ya nani.

Nimalizie tu kwa Kuwapongeza Yanga SC kwa Ushindi wao wa Jana na hakika wana Timu nzuri, ya Kiushindani hasa, inayovutia na ambayo itafika mbali na kwa Ligi Kuu ya Tanzania nawapa 97% ya kuwa Mabingwa tena huku Simba SC yangu nikiipa 2% tu na Malofa wengine Azam FC wao nikiwapa 1% tu.

Nimelala na Machungu mengi sana.

Una machungu, umewahi hata kuchangia maendeleo ya Simba? Una kadi ya uanachama au unabwata tu hapa? Kaa kimya kima wewe!
 
Mkuu, Binafsi naona mechi ya jana kosa ni kocha alikosea kupanga kikosi 1st half. Alirekebisha hili kosa 2nd half. Goli la pili ni kosa la kipa. Simba ilikuwa na nafasi kubwa sana ya kushinda. Matokeo si mabaya. Nafasi ya kupita ni kubwa.
Kocha ambaye umeshakaa na timu muda huwezi kushindwa kujua 11 eleven yako ya ushindi, iligoma ndipo ingiza super subs..
 
Lakini walikandwa 2-0 na Simba kwenye ngao ya hisani.

Sisi hatuna kitu kinaitwa ngao ya hisani, hiyo ilishabakia historia, dunia nzima ngao ni ya jamii hakuna kitu siku hizi kinaitwa ngao ya hisani!
 
Kipa Ayubu hana tatizo tena kwa Kumuona jana tu nimegundua ana Uimara mkubwa kuliko Mnafiki Mtoto aliyeko ambaye jana baada ya Goli la Pili alikuwa akimcheka Benchini na Mchawi Mwingine aliyeko Likizo ya Kitiba sasa.

Kama kuna Wachezaji ambao nina Hasira nao kwa Kunikera jana ni Mabeki wa pembeni Kapombe, Tshabalala, Kiungo nisiyempenda na nilishauri aachwe ila Wazee wa 10% wakambakisha Kanoute, Mshambuliaji anayemtesa Kiutamaduni ( Kienyeji ) Mchezaji Mgeni ( Aubin Kramo ) kutoka Kwao Kigoma Kibu na Kiungo Mchezeshaji ambaye hana Msaada huo kwa Simba SC yetu ( japo jana Katufungia Magoli jana ) Clatous Chama, Kiungo Muzamiru ambaye naona ama Sifa zimemzidi au Siku hizi anavuta aina mpya ya Bangi kwani jana kacheza chini ya Kiwango sana na Winga ambaye nilipinga mno Kusajiliwa Kwake kwa kuijua Ligi ya Rwanda alikotoka ilikuwa ni dhaifu Onana ambaye hana Mpira huo, ila alichonacho kikubwa ni Kujiremba kama Mtoto wa Kike na akicheza Kitoto na Kipuuzi sana.

Naomba Barua ya Kufukuzwa Kocha Wetu Mkuu Roberto Oliveira iwe tayari kwani ni Kocha wa hovyo na mbovu mno.

Hivi Kocha unawezaje kuanza na Kanoute ambaye si Kiungo namba Sita Asilia wakati unae Kiungo Asilia na ni Fundi hasa Fabrice Ngoma?

Unajua fika kuwa Saido Ntibanzokinza katoka Kucheza Mechi ngumu ya Burundi na Cameroon na Kachelewa kujiunga na Timu Kambini, ana Fatigue na Jet Lag halafu Kocha ulivyo wa hovyo bado unampanga wakati una Uwezo wa kutompanga na kuwatumia Wachezaji wengine na Yeye ukaja Kumtumia Mechi ya Dar es Salaam ambapo atakuwa Fiti na kuwa Msaada Kikosini na Kiuchezaji pia.

Kwa Timu yangu ya Simba SC ilivyo mbovu na nilivyoipima Kiufundi Jana GEBTAMYCINE natamka rasmi hapa JamiiForums kuwa sina Timu ya kuwa Bingwa NBC Premier League ( 2023/2024 ), sina Timu ya kufanya vizuri katika Makundi ya CAFCL na sina Timu ya kufanya vyema katika Michuano mipya ya African Football League ( AFL ) hivyo nawaomba Simba SC ( Viongozi, Wanachama na Wapenzi ) kuwa kwa Uwezo mkubwa walionao Yanga SC na Uwezo mdogo wa Kikosi chetu ( cha Simba SC ) naomba hii nafasi yetu ya hili Kombe Jipya la AFL tuwape Yanga SC ambao nje ya Utani wetu ( wangu ) nao na GENTAMYCINE kuwachukia hapa JamiiForums ( hata wao wanajua ) kwakuwa Kiufundi na Kimchezo wanaweza kufanya vyema na kufika mbali, kuiheshimisha nchi tofauti na Sisi ( Simba SC ) ambao naiona inaenda kutia Aibu na Kufungwa nyingi na Al Ahly FC hata kama tutatumia wale Waganga Wetu wa Kienyeji Milioni.

Msituone Wengine akina GENTAMYCINE tuko tu hapa JamiiForums Kutwa na labda hatujui Mpira au hatujawahi Kuucheza kwa Kiwango.

Najuta kwanini nilipokuwa nacheza Mpira wa Kimashindano Shuleni Uganda, Msasani ( Uwanja wa Magunia ), Ilala Msimbazi Center na Timu ya Lumumba Rovers, Kawe na Kawe Rangers enzi hizo na Mechi za Ndondo nilikuwa Sijirekodi ili hawa Wachezaji Wapuuzi tajwa hapa na Kocha wenu Mbrazili ajue kuwa nilikuwa naujua, naupiga na huenda isingekuwa ni Mikwara ya Wazazi kutaka nisome ( nijikite Kielimu ) huenda leo hii GENTAMYCINE ningekuwa natizamwa tu na Watanzania nikiwa na ama Liverpool FC yangu ninayoishabikia au AC Milan niipendayo au Bayern Munich FC ninayoihusudu nikicheza Namba zangu nilizokuwa nazimudu mno za 2,3,4,6 na 11 mpaka Kupachikwa Jina maarufu la Mchezaji mkubwa Kipindi hicho ambalo nikilitaja hapa Wanaolijua wataijua rasmi hi ID Tukuka na Brand ya GENTAMYCINE ni ya nani.

Nimalizie tu kwa Kuwapongeza Yanga SC kwa Ushindi wao wa Jana na hakika wana Timu nzuri, ya Kiushindani hasa, inayovutia na ambayo itafika mbali na kwa Ligi Kuu ya Tanzania nawapa 97% ya kuwa Mabingwa tena huku Simba SC yangu nikiipa 2% tu na Malofa wengine Azam FC wao nikiwapa 1% tu.

Nimelala na Machungu mengi sana.
Bado tunacheza vizuri tusikate tamaa vijana bado wanao muda wa kujipanga kwa ajili ya mechi ijayo
Tuwaamini
Sare ya 2 kwa 2 haina baya lolote kwetu
Naamini ushindi upo

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Kwa Timu ile ya Power Dynamos FC ni ya kutoa Sare nayo Kweli Mkuu? Tusifiche ukweli kuwa Simba SC bado tunajitafuta na tuna Kikosi dhaifu Kimashindano.
Umeongea point, ukweli Simba SC imecheza mpira dhaifu hakuna muunganiko wa kitimu. Haiwezekani hadi leo hii timu haijaimarika bado inajitafuta na muda unaenda. Kuna wachezaji wazuri tu waliosajiliwa hatujawahi kuwaona wakipewa nafasi ys kucheza. Sijui kwa nini Viongozi na Menejimenti hawalioni hili.
 
Back
Top Bottom