MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Wasiojua Mpira walifanyiwa 50% tu ya Umafia huo na tarehe 16 April, 2023 Wakafa Goli 2 huku Wakikoswakoswa Goli 3 au 5 na sasa wameanza Kugombana Wenyewe kwa Wenyewe.
Umafia waliofanyiwa Wanaoujua Mpira ( ambao baadhi yake MINOCYCLINE nimeushuhudia hii Leo ) Klabu ya Wydad Casablanca FC ambao ni Kufuru na wa 100% kuna Uwezekano mkubwa hiyo Siku ya Jumamosi Wao kwa Wao wakapigana Makonde pale kwa Mkapa kwa Kipigo ambacho watakipata kutoka kwa Simba SC.
Asanteni sana Watu wa Uwanja wa Ndege JNIA ( Terminal III ), Madereva Teksi wa Posta, Wafanya Usafi na Wamiliki wa Uwanja wa Ghymkana, Waandishi wa Habari Watatu ( ambao Majina yenu nayahifadhi ), Wafanyakazi wa Uwanja wa Mkapa, Matrafiki Watatu kutoka Stesheni na Wamiliki wote wa Hoteli za Nyota Nne na Tano ( hasa kwa Mkoa wa Dar es Salaam ) ama hakika Mwarabu akipona Jumamosi akatambike / wakatambike Kwao.
Mpaka MINOCYCLINE nakwenda Mitamboni Goli nilizoonyeshwa ni Nne ( 4 ) kwa 1 japo inasemekana kutokana na kupenda Kusali Kwao kwa Kitabu Waarabu wanaweza Kujitahidi kuzipunguza na zikawa / zikabakia Goli 3 au 2 kwani Wameshaingia Wenyewe Mtegoni kama walivyouingia Wasiojua Mpira tarehe 16 April, 2023 na Wakala / Wakafungwa Bao Mbili ( 2 ) Safi kabisa.
Mwarabu anakufa hiyo Jumamosi.
Umafia waliofanyiwa Wanaoujua Mpira ( ambao baadhi yake MINOCYCLINE nimeushuhudia hii Leo ) Klabu ya Wydad Casablanca FC ambao ni Kufuru na wa 100% kuna Uwezekano mkubwa hiyo Siku ya Jumamosi Wao kwa Wao wakapigana Makonde pale kwa Mkapa kwa Kipigo ambacho watakipata kutoka kwa Simba SC.
Asanteni sana Watu wa Uwanja wa Ndege JNIA ( Terminal III ), Madereva Teksi wa Posta, Wafanya Usafi na Wamiliki wa Uwanja wa Ghymkana, Waandishi wa Habari Watatu ( ambao Majina yenu nayahifadhi ), Wafanyakazi wa Uwanja wa Mkapa, Matrafiki Watatu kutoka Stesheni na Wamiliki wote wa Hoteli za Nyota Nne na Tano ( hasa kwa Mkoa wa Dar es Salaam ) ama hakika Mwarabu akipona Jumamosi akatambike / wakatambike Kwao.
Mpaka MINOCYCLINE nakwenda Mitamboni Goli nilizoonyeshwa ni Nne ( 4 ) kwa 1 japo inasemekana kutokana na kupenda Kusali Kwao kwa Kitabu Waarabu wanaweza Kujitahidi kuzipunguza na zikawa / zikabakia Goli 3 au 2 kwani Wameshaingia Wenyewe Mtegoni kama walivyouingia Wasiojua Mpira tarehe 16 April, 2023 na Wakala / Wakafungwa Bao Mbili ( 2 ) Safi kabisa.
Mwarabu anakufa hiyo Jumamosi.