pri
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 826
- 666
Mwandiko wa popoma kabadili sauti TU![emoji2][emoji2]Naona umekaimu nafasi ya popoma. Si kwa pumba hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandiko wa popoma kabadili sauti TU![emoji2][emoji2]Naona umekaimu nafasi ya popoma. Si kwa pumba hii.
Nilijua tu nitakutana na comment ya kipuuzi kama hii, ambayo inafanana na Ile isemayo "kama maombi yanaponya basi hakuna haja ya serikali kununua vifaa tiba na kuajiri madaktari, ijaze viongozi wa dini mahospitalini". Kwahiyo maombi hayasaidii? Hoja ya kitoto tupu.Mpira unhekua unachezws kwa ndumba, kombe la dunia lingekua ninakuja Africa kila baada ya miaka minne!
Hii kamba kaka... Itakua element ya bonyokwaNakumbuka ile Mechi na Raja, nilikuwa na kuongozi mmoja wa Simba pale Element Hotel akawa ananiambia maneno haya haya. Kuwa tumewafanyia umafia wa hali ya juu, kuamzia airport hadi kwenye Mahoteli. Tumeungana na Yanga kuwafanyia wageni Umafia maana Yanga alikuwa na Mgeni TP Mazembe na sasa hawana sehemu ya Kulala kwani Hotel zote Nyota 5 za hapa Town wamesema hawana nafasi zimejaa. Jamaa alijitamba sana nami nilimuamini na nikawa nawashirikisha wenzangu kwenye majukwaa yetu ya kikazi huku nikisindikiza picha nilizopiga na Chama na wengine.
Ila kilichowakuta wakati wa Mechi, mlikiona wenyewe. Jiandaeni uwanjani na sio hizo blah blah za nje.
Kwani hujui kama hii ni ID nyingine ya popoma?Naona umekaimu nafasi ya popoma. Si kwa pumba hii.