Simba SC kwa Umafia mliowafanyia Wydad Casablanca FC Jumamosi watatafutana kwa Mkapa

Mpira unhekua unachezws kwa ndumba, kombe la dunia lingekua ninakuja Africa kila baada ya miaka minne!
Nilijua tu nitakutana na comment ya kipuuzi kama hii, ambayo inafanana na Ile isemayo "kama maombi yanaponya basi hakuna haja ya serikali kununua vifaa tiba na kuajiri madaktari, ijaze viongozi wa dini mahospitalini". Kwahiyo maombi hayasaidii? Hoja ya kitoto tupu.

Nimetoa mfano huu ili mlinganishe na comments za wadau kuhusiana na uzi huu. Hasa hiyo hoja ya kubeba World Cup.
 
Hii kamba kaka... Itakua element ya bonyokwa
 
Mbona kama mmebashiri tofauti, sio kwamba simba ndo anakufa 3 tena leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…