Simba SC kwanini haijasajili Mshambuliaji mpaka sasa?

Simba SC kwanini haijasajili Mshambuliaji mpaka sasa?

Huu msimu umeisha tujipange kwa ujao, sioni namna ya kulipunguza hili gape la point tano.
 
kagere bocco,mugalu ,muhilu,kibu, bado untk mshambuliaji mwngine?
Hao kina Boko, ndo kama ukivyoona Leo. Miguu haina glisi, mugalu sio super, kagere anachagua mechi. Labda msubiri majira ya joto kwa Phiri kama Yanga hawatawapiku
 
Katika kitu ambacho sijaelewa hadi sasa hivi SSC inampango gani pale mbele Ina maana wameridhika na kina Bocco,Mugalu,Kagere na Muhilu??

Mimi nilitegemea mpaka sasa imesasajili mfungaji wa kimataifa pale mbele anayeendana na hadhi ya club.

Watasajili lini mshambukiaji hawa jamaa[emoji848][emoji848]
Washambuliaji wa nini mkuu wakati mnae boko, mugalu,kagere,mhilu,mwanuke,amuoni hao ni washambuliaji wa levo za juu kabisa Kama alivyosema mwenyekiti wenu mangungu?
 
Hao kina Boko, ndo kama ukivyoona Leo. Miguu haina glisi, mugalu sio super, kagere anachagua mechi. Labda msubiri majira ya joto kwa Phiri kama Yanga hawatawapiku
Eti grisi dah
 
Washambuliaji wa nini mkuu wakati mnae boko, mugalu,kagere,mhilu,mwanuke,amuoni hao ni washambuliaji wa levo za juu kabisa Kama alivyosema mwenyekiti wenu mangungu?
Bocco haupo serious jamaa[emoji848][emoji848]
 
ili mpoteze kombe kuna ujinga huwa lazima ufanyike. Naamini hii ni sehemu ya ujinga ambao utapelekea kupotea NBC
Afadhali wewe umeungana na mimi, hivi competition ya msimu huu ni ya kukubali kukaa nyuma kwa point tano? Na hapo tukifanya uzembe kwenye kiporo hupenda tukazidiwa point 6 au 8 kabisa.

Huu msimu tumepoteza tayari.
 
ili mpoteze kombe kuna ujinga huwa lazima ufanyike. Naamini hii ni sehemu ya ujinga ambao utapelekea kupotea NBC
Dah yaan n ujinga kwa kweli

Halafu unajua hivi vitu mashabiki ndiyo wanaumiaga zaidi kuliko hata hao viongozi ambao wanalipwa ili wafanye kazi yao
 
Afadhali wewe umeungana na mimi, hivi competition ya msimu huu ni ya kukubali kukaa nyuma kwa point tano? Na hapo tukifanya uzembe kwenye kiporo hupenda tukazidiwa point 6 au 8 kabisa.

Huu msimu tumepoteza tayari.
usikate tamaa mapema mzee
 
Aisee hili ni sikio la kufa. Toka wakati wa dirisha kubwa tuliwakumbusha hapa kuwa Simba haina mshambuliaj namba tisa. Juzi tena kwenye dirisha dogo tumewakumbusha hapa tena kwa kluwaambia kabisa kuwa wafanye maamuzi magumu waachane na mshambuliaji mmoja wa kimataifa walete mwingine aliyekamilika bado hawakusikia. Badala yake waklete viungo wakawa wanafanyia majaribio kwenye Mapinduzi wakati Simba ndio timu tajiri kwa viungo. Kwa mwendo huu hata ubingwa ni hatihati.
Wameshindwa kutoka milioni 200 kwa ajili ya kuvunja mkataba wa moses phiri.

Wameambiwa warudi mwezi june wakiwa na milioni 150 mkononi.

😂😂😂

Wakaamua kumsainisha pre-contract.
 
Mhilu sijawahi muelewa sijui lakini
Mhilu hata mm mpaka sasa sijamsoma pengine labda kwa vile hapewi nafasi mara kwa mara ni ngumu kumhukumu kwa sasa angepewa kwanza nafasi mechi kadhaa hivi kama ilivyo kwa Kibu ndo tungejua vzr
 
usikate tamaa mapema mzee
Gape la point 5 kwenye ligi ngumu kama hii tena mbaya zaidi unazidiwa na timu yenye uchu wa kubeba ubingwa baada ya kuukosa misimu 3 mfululizo, ni sawa na kuulizia makofi polisi, kwa mwendo wa yanga wa sasa na aina ya wachezaji ilionao wacha tusubili tusiongee mengi
 
Wameshindwa kutoka milioni 200 kwa ajili ya kuvunja mkataba wa moses phiri.

Wameambiwa warudi mwezi june wakiwa na milioni 150 mkononi.

[emoji23][emoji23][emoji23]

Wakaamua kumsainisha pre-contract.
Mpira wa siku hizi gharama haziepukiki kama unataka mchezaj mzur lazima uingie mfukoni aisee kama wenzetu huko kwa wamisri
 
Gape la point 5 kwenye ligi ngumu kama hii tena mbaya zaidi unazidiwa na timu yenye uchu wa kubeba ubingwa baada ya kuukosa misimu 3 mfululizo, ni sawa na kuulizia makofi polisi, kwa mwendo wa yanga wa sasa na aina ya wachezaji ilionao wacha tusubili tusiongee mengi
wana uchu hasa ila mpira bwana we acha si umeona Chelsea ilivyokuwa mzee
 
Back
Top Bottom