Ukweli utakuweka huru, jezi kama za timu ya Kijiji?Kwenye jezi simba tunapuyanga sana
ni kama mimi tu nisiyeona lolote la maana kwa yangaDah kweli tunatofautiana sana kujua hiki ni kizuri na hiki ni kibaya
ni kama mimi tu nisiyeona lolote la maana kwa yangaDah kweli tunatofautiana sana kujua hiki ni kizuri na hiki ni kibaya
ni kama mimi tu nisiyeona lolote la maana kwa yangaDah kweli tunatofautiana sana kujua hiki ni kizuri na hiki ni kibaya
Logo isiyokuwa na kauli mbiu ya club, Haina Maana"
Logo imekosa mvuto kabisa. Ina mapengo kwenye mzunguko wake, yangeweza kuzibwa kwa kuweka picha za mpira au viatu vya kandanda. Kiufupi, mbunifu wa logo kachemsha.
hao ni Yanga hawana jemaNaona watu wengi wanaponda tu kuhusu hizi jezi... achana na picha zinazoletwa humu javini maana nyingi hazina uhalisia wa jezi halisi. Tafuta jezi uione kwa macho yako na ushike ujiridhishe ndio uje ku-comment. Huu uzi ni mzuri...
Hapana mmepata kwa baadhi ya game kubebwaKwani tumekuwa Mabingwa kwa ajili ya Jezi ama uwezo uwanja? AnotherLevelView attachment 1536901View attachment 1536902View attachment 1536903
Huwezi kufananisha logo ya Yanga na huu ujingaView attachment 1537072
unataka iwe hadi na mmama anacheza rede na jamaa anapigana ngumi
haya mambo utopolo hamuwezi
Kama hujui maana yake uliza ewe Mbumbumbu,Yanga ni Sports Club inajumuisha michezo yote ndio maana hapo kwenye Logo imewekwa michezo mingi.View attachment 1537072
unataka iwe hadi na mmama anacheza rede na jamaa anapigana ngumi
haya mambo utopolo hamuwezi
Huwezi kufananisha logo ya Yanga na huu ujingaView attachment 1537088
Mbunifu Wa hii Logo hajui...hata kuweka kampira utadhani Logo ya Kikoba! All in all Simba nguvu moja!