Simba SC: Mimi siyo Muumini wa Kuaminishwa 'Kipropaganda' na Matokeo ya 'Mechi Mazoezi' huko Kambini Misri

Simba SC: Mimi siyo Muumini wa Kuaminishwa 'Kipropaganda' na Matokeo ya 'Mechi Mazoezi' huko Kambini Misri

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Timu haina hata Wiki Moja tokea iende Kimafungu huko Ismailia nchini Misri na hata Kocha Mkuu hajajuana na Wachezaji wake halafu mnalazimisha Mechi Mazoezi ya Timu ya Vijana ya Ismailia na kutoka nayo Sare mnakimbilia 'Kuposti ' Matokeo Mitandaoni na kuanza Kujisifia.

Naipenda sana Simba SC yangu ila GENTAMYCINE nachukia Upuuzi na Utoto huu wa 'Kipropaganda' ili tu Kuwahadaa Wanasimba ambao wengi Wao ( 75% ) ni Oya Oya ( Wasiojielewa ) waamini kuwa Simba SC ya sasa 'imenoga' na wasitishwe na Usajili wa Yanga SC pamoja na Mafanikio yao ya hivi karibuni.

Uongozi wa Simba SC kuna uharaka gani wa nyie kutafuta Mechi Mazoezi huko Kambini Ismailia nchini Misri wakati Timu haina bado Muunganiko na hata Makocha wapya hawajaweka 10% tu ya Ufundi ( Utaalam ) Wao?

Uongozi wa Simba SC aliyewaambieni kuwa mkienda Pre Season na msipocheza hata Mechi Moja ya Kirafiki huko mtalaumiwa ni nani?

Uongozi wa Simba SC kwanini basi hata msingesubiria angalau Wiki Mbili zipite Mazoezi yaanze Kuwaingia Wachezaji wetu, Kikosi Kikamilike angalau hata kwa 85% ukiachana na wale Walioko Taifa Stars ndipo muombe Mechi ya Kiukweli Ukweli ( Serious ) na Club Ismailia ile ya uhakika ninayoijua Mimi GENTAMYCINE na siyo hii ( hawa ) wa Jana?

Halafu Kiufundi ( Technically ) Kocha mwenye Akili huwa anapenda zaidi katika Pre Season yake apate Mechi Ngumu na za Timu za maana ili apate Upinzani hasa na ikiwezekana hata afungwe ili ajue wapi amepaweza na wapi apawekee mkazo zaidi ili akiingia katika Mashindano ya Ligi Kuu au Michuano ya Kimataifa awe amekamilika na ana Kikosi cha Ushindani kweli.

Najua mtanichukia na sasa mnanichukia mno tu ila mtanisamehe lakini GENTAMYCINE sipendi Unafiki na nimezaliwa kuwa Mkweli na Muwazi halafu msisahau kuwa hata huu Mpira Wenyewe nje ya Kuujua, Kuuchambua pia nimeucheza vile vile japo sikufikia huku juu kama Wengine.

Badilikeni na tuache hii Propaganda!!

Cc: Mokaze
 
Dah.!
Kocha alikutumia ujumbe hajafurahishwa na hilo la mechi?
Nina Jicho la Kimpira na Kiufundi kuliko Kocha wako, CEO Barbara, Mwekezaji Mo Dewji na Msemaji Ahmed Ally na sijawahi Kukosea katika Observations zangu ziwe za Kimpira au Kisiasa na mengineyo ya Kimtambuka.
 
Mtazamo wako wewe ni tofauti na wa wengine wachezaji wapya ni wachache wengi ni walewale waliokuwepo kocha hana kazi kubwa kihivyo kutafuta muunganiko maana wengi wanafahamiana issue anayofanya ni kuintroduce mfumo wake wa uchezaji na kuwajaribu wachezaji wapya.

Hilo halihitaji wiki 2 ili watu wacheze. Ukishakuwa mchezaji mkubwa haihitaji muda wote huo kuendana na mabadiliko, wapo sahihi kuanza mechi za kujipima wakiona eneo fulani kuna tatizo wanalifanyia kazi
 
Mtazamo wako wewe ni tofauti na wa wengine wachezaji wapya ni wachache wengi ni walewale waliokuwepo kocha hana kazi kubwa kihivyo kutafuta muunganiko maana wengi wanafahamiana issue anayofanya ni kuintroduce mfumo wake wa uchezaji na kuwajaribu wachezaji wapya.

Hilo halihitaji wiki 2 ili watu wacheze. Ukishakuwa mchezaji mkubwa haihitaji muda wote huo kuendana na mabadiliko, wapo sahihi kuanza mechi za kujipima wakiona eneo fulani kuna tatizo wanarudi zoezi
Huna Akili period.
 
Timu haina hata Wiki Moja tokea iende Kimafungu huko Ismailia nchini Misri na hata Kocha Mkuu hajajuana na Wachezaji wake halafu mnalazimisha Mechi Mazoezi ya Timu ya Vijana ya Ismailia na kutoka nayo Sare mnakimbilia 'Kuposti ' Matokeo Mitandaoni na kuanza Kujisifia...
Sasa mbona hujaeleza kwamba hakutakua tena mechi ngumu mpaka mwisho wa kambi, na labda baada ya pre-season kwamba kocha hatawafundisha tena, kuwa atakuwa anawaambia tu "Haya mpira mwema, halafu wazama uwanjani.

Na wewe ungejipa muda kidogo kuandika makala yako, [emoji1787] utani tu kaka.
 
Sijawahi kueleweka na Fools hapa JF.
Hapa lazima ufundishwe tu, hata kama ukiwa certified popoma, PhD!.

Mechi ya kirafiki kocha anaweza kuitisha hata baada ya siku moja, kwa sababu zifuatazo;

1. Kocha akiwa mgeni.

2. Kujua uwezo wa wachezaji wake [kimbinu, kimwili, na kiakili] na mapungufu yao, ili kocha ajue wapi pa kuanzia kwenye mazoezi yake.

3. Mechi za kirafiki zinamjengea mchezaji hali ya kujiamini, na kumpa nafasi mchezaji husika kuonesha uwezo wake mbele ya kocha mpya.

4. Kocha anaanza kupata picha ya mfumo atakaotumia kulingana na strength atakazoziona kwa wachezaji wake kwenye mechi za kirafiki.

Popoma kariri hizo kwanza!.
 
Nina Jicho la Kimpira na Kiufundi kuliko Kocha wako, CEO Barbara, Mwekezaji Mo Dewji na Msemaji Ahmed Ally na sijawahi Kukosea katika Observations zangu ziwe za Kimpira au Kisiasa na mengineyo ya Kimtambuka.
Uliposema tu kuwa hujawahi kukosea kwenye observations zako nikahitimisha kwamba wewe ni punguani waheed mkubwa, mama muuza uji mwenye mikogo mingi. Usikosee we nani?
 
Hii mechi kiukweli ni kwamba uongozi ulikubaliana Wakifungwa hawatopost wakifunga au droo watapost ndio maana mashabiki tumepostiwa tu matokeo wakati kawaida uwa tunapewa habari siku moja kabla ya mechi....yote kwa yote Itafahamika kuanzia Simba day
 
Nina Jicho la Kimpira na Kiufundi kuliko Kocha wako, CEO Barbara, Mwekezaji Mo Dewji na Msemaji Ahmed Ally na sijawahi Kukosea katika Observations zangu ziwe za Kimpira au Kisiasa na mengineyo ya Kimtambuka.
Kosa lenyewe linakosea kosa lingine.
 
Timu haina hata Wiki Moja tokea iende Kimafungu huko Ismailia nchini Misri na hata Kocha Mkuu hajajuana na Wachezaji wake halafu mnalazimisha Mechi Mazoezi ya Timu ya Vijana ya Ismailia na kutoka nayo Sare mnakimbilia 'Kuposti ' Matokeo Mitandaoni na kuanza Kujisifia.

Naipenda sana Simba SC yangu ila GENTAMYCINE nachukia Upuuzi na Utoto huu wa 'Kipropaganda' ili tu Kuwahadaa Wanasimba ambao wengi Wao ( 75% ) ni Oya Oya ( Wasiojielewa ) waamini kuwa Simba SC ya sasa 'imenoga' na wasitishwe na Usajili wa Yanga SC pamoja na Mafanikio yao ya hivi karibuni.

Uongozi wa Simba SC kuna uharaka gani wa nyie kutafuta Mechi Mazoezi huko Kambini Ismailia nchini Misri wakati Timu haina bado Muunganiko na hata Makocha wapya hawajaweka 10% tu ya Ufundi ( Utaalam ) Wao?

Uongozi wa Simba SC aliyewaambieni kuwa mkienda Pre Season na msipocheza hata Mechi Moja ya Kirafiki huko mtalaumiwa ni nani?

Uongozi wa Simba SC kwanini basi hata msingesubiria angalau Wiki Mbili zipite Mazoezi yaanze Kuwaingia Wachezaji wetu, Kikosi Kikamilike angalau hata kwa 85% ukiachana na wale Walioko Taifa Stars ndipo muombe Mechi ya Kiukweli Ukweli ( Serious ) na Club Ismailia ile ya uhakika ninayoijua Mimi GENTAMYCINE na siyo hii ( hawa ) wa Jana?

Halafu Kiufundi ( Technically ) Kocha mwenye Akili huwa anapenda zaidi katika Pre Season yake apate Mechi Ngumu na za Timu za maana ili apate Upinzani hasa na ikiwezekana hata afungwe ili ajue wapi amepaweza na wapi apawekee mkazo zaidi ili akiingia katika Mashindano ya Ligi Kuu au Michuano ya Kimataifa awe amekamilika na ana Kikosi cha Ushindani kweli.

Najua mtanichukia na sasa mnanichukia mno tu ila mtanisamehe lakini GENTAMYCINE sipendi Unafiki na nimezaliwa kuwa Mkweli na Muwazi halafu msisahau kuwa hata huu Mpira Wenyewe nje ya Kuujua, Kuuchambua pia nimeucheza vile vile japo sikufikia huku juu kama Wengine.

Badilikeni na tuache hii Propaganda!!

Cc: Mokaze
Huyu sasa ndiyo GENTAMYCINE, the Genius from SAUT ninayemfahamu! Sijui ni kwa nini hawakupi nafasi ya CEO pale klabuni!

Hakika simba ingekuwa kama Real Madrid ndani miaka 5 tu ya uongozi wako. Yaani mpaka wakati huu, nahisi IQ yako itakuwa ni mara dufu ukilinganisha na ile ya Ismail Aden Rage!
 
Timu haina hata Wiki Moja tokea iende Kimafungu huko Ismailia nchini Misri na hata Kocha Mkuu hajajuana na Wachezaji wake halafu mnalazimisha Mechi Mazoezi ya Timu ya Vijana ya Ismailia na kutoka nayo Sare mnakimbilia 'Kuposti ' Matokeo Mitandaoni na kuanza Kujisifia.

Naipenda sana Simba SC yangu ila GENTAMYCINE nachukia Upuuzi na Utoto huu wa 'Kipropaganda' ili tu Kuwahadaa Wanasimba ambao wengi Wao ( 75% ) ni Oya Oya ( Wasiojielewa ) waamini kuwa Simba SC ya sasa 'imenoga' na wasitishwe na Usajili wa Yanga SC pamoja na Mafanikio yao ya hivi karibuni.

Uongozi wa Simba SC kuna uharaka gani wa nyie kutafuta Mechi Mazoezi huko Kambini Ismailia nchini Misri wakati Timu haina bado Muunganiko na hata Makocha wapya hawajaweka 10% tu ya Ufundi ( Utaalam ) Wao?

Uongozi wa Simba SC aliyewaambieni kuwa mkienda Pre Season na msipocheza hata Mechi Moja ya Kirafiki huko mtalaumiwa ni nani?

Uongozi wa Simba SC kwanini basi hata msingesubiria angalau Wiki Mbili zipite Mazoezi yaanze Kuwaingia Wachezaji wetu, Kikosi Kikamilike angalau hata kwa 85% ukiachana na wale Walioko Taifa Stars ndipo muombe Mechi ya Kiukweli Ukweli ( Serious ) na Club Ismailia ile ya uhakika ninayoijua Mimi GENTAMYCINE na siyo hii ( hawa ) wa Jana?

Halafu Kiufundi ( Technically ) Kocha mwenye Akili huwa anapenda zaidi katika Pre Season yake apate Mechi Ngumu na za Timu za maana ili apate Upinzani hasa na ikiwezekana hata afungwe ili ajue wapi amepaweza na wapi apawekee mkazo zaidi ili akiingia katika Mashindano ya Ligi Kuu au Michuano ya Kimataifa awe amekamilika na ana Kikosi cha Ushindani kweli.

Najua mtanichukia na sasa mnanichukia mno tu ila mtanisamehe lakini GENTAMYCINE sipendi Unafiki na nimezaliwa kuwa Mkweli na Muwazi halafu msisahau kuwa hata huu Mpira Wenyewe nje ya Kuujua, Kuuchambua pia nimeucheza vile vile japo sikufikia huku juu kama Wengine.

Badilikeni na tuache hii Propaganda!!

Cc: Mokaze
Mi mwenyewe sijaelewa uyu kocha anatumia stahili gani, kocha mgeni, baadhi ya wachezaji ni wageni, sasa ameingia kambini siku 3 siku ya 4 kaomba mechi ya majaribio? Hii kiufundi sijaielewa, mi ninachojua kocha mpya anahitaji si chini ya wiki 6 kuingiza ufundi wake na mifumo yake mazoezini ikiwemo kuwafahamu wachezaji wake ipasavyo, sasa uyu bwana kaingia na gia kubwa mambo ni chap chap sijui kama na wachezaji wanashika icho anachofundisha
 
Back
Top Bottom