Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
😀😀👍Kwani ushaona kichaa anakosea mkuu?
Yuko sawa maana hata akili za kukosea hana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀👍Kwani ushaona kichaa anakosea mkuu?
Yuko sawa maana hata akili za kukosea hana.
Trial of your squad.Kwa akili ya kawaida kocha katrain siku 3 na ya 4 kaomba mechi ya majaribio, kocha mpya, usajili kasajili wapya, kiufundi iyo kitu inaitwaje?
Kwahiyo jamaa hujamuelewa? Kweli upo miongoni mwa ile 75% alosema mleta mada.Dah.!
Kocha alikutumia ujumbe hajafurahishwa na hilo la mechi?
Big Results Now BRNMi mwenyewe sijaelewa uyu kocha anatumia stahili gani, kocha mgeni, baadhi ya wachezaji ni wageni, sasa ameingia kambini siku 3 siku ya 4 kaomba mechi ya majaribio? Hii kiufundi sijaielewa, mi ninachojua kocha mpya anahitaji si chini ya wiki 6 kuingiza ufundi wake na mifumo yake mazoezini ikiwemo kuwafahamu wachezaji wake ipasavyo, sasa uyu bwana kaingia na gia kubwa mambo ni chap chap sijui kama na wachezaji wanashika icho anachofundisha
Kwa sehemu nimemuelewa mleta mada.Hapa lazima ufundishwe tu, hata kama ukiwa certified popoma, PhD!.
Mechi ya kirafiki kocha anaweza kuitisha hata baada ya siku moja, kwa sababu zifuatazo;
1. Kocha akiwa mgeni.
2. Kujua uwezo wa wachezaji wake [kimbinu, kimwili, na kiakili] na mapungufu yao, ili kocha ajue wapi pa kuanzia kwenye mazoezi yake.
3. Mechi za kirafiki zinamjengea mchezaji hali ya kujiamini, na kumpa nafasi mchezaji husika kuonesha uwezo wake mbele ya kocha mpya.
4. Kocha anaanza kupata picha ya mfumo atakaotumia kulingana na strength atakazoziona kwa wachezaji wake kwenye mechi za kirafiki.
Popoma kariri hizo kwanza!.
Wanamponda bure mleta mada ila ukitazama hili jambo kwenye jicho la mpira bila kuweka mapenzi ya kipumbavu, mleta mada yupo sahihi.Kwa akili ya kawaida kocha katrain siku 3 na ya 4 kaomba mechi ya majaribio, kocha mpya, usajili kasajili wapya, kiufundi iyo kitu inaitwaje?
Nahisi kocha yupo pale kwa niaba ya watu fulani, kwahiyo anafanya yale anayopangiwa, lakini ninaamini kabisa hata yeye hakuwa tayari kucheza hii mechi.Mi mwenyewe sijaelewa uyu kocha anatumia stahili gani, kocha mgeni, baadhi ya wachezaji ni wageni, sasa ameingia kambini siku 3 siku ya 4 kaomba mechi ya majaribio? Hii kiufundi sijaielewa, mi ninachojua kocha mpya anahitaji si chini ya wiki 6 kuingiza ufundi wake na mifumo yake mazoezini ikiwemo kuwafahamu wachezaji wake ipasavyo, sasa uyu bwana kaingia na gia kubwa mambo ni chap chap sijui kama na wachezaji wanashika icho anachofundisha
Sahihi kabisa 75%Kwahiyo jamaa hujamuelewa? Kweli upo miongoni mwa ile 75% alosema mleta mada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kisa amekufurahishaa ulichotaka kusikia??Huyu sasa ndiyo GENTAMYCINE, the Genius from SAUT ninayemfahamu! Sijui ni kwa nini hawakupi nafasi ya CEO pale klabuni!
Hakika simba ingekuwa kama Real Madrid ndani miaka 5 tu ya uongozi wako. Yaani mpaka wakati huu, nahisi IQ yako itakuwa ni mara dufu ukilinganisha na ile ya Ismail Aden Rage!
Siku zote huwa naeleweka vyema na haraka na Watu Werevu ( Intelligent ) kama Wewe, ila Wapumbavu na Waswahili huwa hawanielewi na badala wanaishia Kunichukia tu huku Mimi nikiendelea Kuwadharau zaidi.Wanamponda bure mleta mada ila ukitazama hili jambo kwenye jicho la mpira bila kuweka mapenzi ya kipumbavu, mleta mada yupo sahihi.
Another Fool.Jamaa kaongea uharo alafu kapotea. Hemu tuambie wachezaji wapya wangapi wamrcheza kwenye hiyo mechi
You're one of the most Stupidest Simba SC Fan ever found on this Popular Swahili Platform.Tuachie timu yetu nenda yanga sio lazima ushabikie timu yetu