Simba SC Mmepigwa Parefu. Kifua Hakiuzwi Kwa Miaka 5

Huwa wana-renew...hebu fikiria miaka miwili ijayo Simba achukue ubingwa caf,hiyo Thamani ya mkataba itakua ndogo
Man u na teamviewer waliingia mkataba wwa miaka mitano net, km ni kurenew watarenew mbele ya safari.
Arsenal walisaini na Emirates zaidi ya miaka hoyo mi 5.
 
Na bado mkataba ni feki pia wameongeza masifuri.
 
Man u na teamviewer waliingia mkataba wwa miaka mitano net, km ni kurenew watarenew mbele ya safari.
Arsenal walisaini na Emirates zaidi ya miaka hoyo mi 5.
Arsenal na Emirates palikua na Deni la uwanja..toka 2004-2014
 
Mkataba wa arsenal na Emirates unahusisha Deni la kujenga Emirates,ndiyo maana ilikua mrefu...njia nzuri kwa timu ni kusaini mkataba mfupi
 
Kama kimombo kinapanda soma hapo
 
Umeandika kama mtu unayejua maana ya terms za mikataba. Unafungua threads tofauti tofauti ukijifanya mjuaji kumbe zuzu.
Kabla hujaandika, fanya utafiti kwanza duniani huko. Unawadhalilisha hao wawili aliowataja Haji kuwa ndiyo wenye akili.
Fuatilia Madrid, Chelsea, na nyinginezo.
 
Uwanja wa Emirates ulianza kujengwa lini!?..sera ya kubana matumizi ya arsenal iliathiriwa pakubwa na ujenzi wa uwanja
Arsenal walianza kuvaa fly Emirates 2004? , arsenal walivaa fly Emirates wakiwa highbury.?

Ujue hapa tunazungumzia mdhamini anaekaa kifuani.
 
Man u,Madrid n.k Thamani yao haiongezeki,wameshafikia kilele Cha mafanikio tofauti na Simba na yanga
Kama thamani haiongezeki kwanini makampuni yanapigana vikumbo, na kila mkataba ukiisha wanasaini moya kwa dau kubwa zaidi?
 
Arsenal walianza kuvaa fly Emirates 2004? , arsenal walivaa fly Emirates wakiwa highbury.?

Ujue hapa tunazungumzia mdhamini anaekaa kifuani.
Emirates alimkopesha hela arsenal ajenge uwanja,malipo pamoja na vingine lakini kukaa kifuani na jina la uwanja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…