Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Kwenye mpira akuna miujiza,atakae fanya makosa atafungwa.Ni kwenye kukusanya points.
Siyo kwenye knockout stage(s). Miujiza tu ndo itokee lakini kwa quality ya kikosi SIMBA ni 20 times underdog kwa Ahly.
Hata kwenye stage ya points ukiwa na points chache unatolewa huvuki.