demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Leo asubuhi nimepata nafasi ya kuwa pamoja na mmoja wa kuongozi wenu. Yaani ni miongoni mwa wanakamati wa ile Bodi yenu.
Nilikuwa napiga nae stori mbili tatu viwanja fulani hivi hapa jijini Dar. (si mnajua mambo ya wikiend).
Katika stori akatanabaisha wazi kuwa viongozi wa klabu yenu wamegawanyika katika pande kuu mbili.
Moja:
Inataka kikosi kizima kifumuliwe, yaani waachwe wachezaji wengi kwa wakati mmoja. Wachezaji ambao wana above 33yrs plus local players ambao hawajafanikiwa kuonyesha ushindani.
Mbili:
Huu upande ni ule una idadi kubwa ya viongozi wenye kujaa hofu kwamba kikosi kisifumuliwe bali wapatikane wachezaji wagharama kubwa kama 3 tu ili waone kama watasaidia mtumbwi usizame msimu ujao.
Kundi la kwanza linapendekeza kuondolewa wachezaji wengi kwa mkupuo na kununua wachezaji wengi kwa bei nafuu.
Hilo kundi la pili linahofu kubwa sana kuhusu kuwapo wa wachezaji wengi wapya ambao wataleta changamoto ya kupatikana chemistry kwenye kikosi.
Na ndio sababu ilapelekea hata dili la Adebayor kuingiliwa kati la Berkane huku wao wakibaki wanajibizana.
Kiongozi huyo ikafika hatua akaanza kulalamika kuwa mgawanyiko huo ndio umewarahisishia hata Yanga SC kukamilisha mkataba wa awali na Azizi Ki.
Ushauri wangu ni kwamba msiogope kuondoa wazee hapo klabuni kwenu kwa hofu ya wachezaji wapya kukosa connection mapema.
Bali fanyeni uamuzi wa kweli maana next season Yanga SC watakuja kuwakwaruza panye kidonda..
View attachment 2257546
Nilikuwa napiga nae stori mbili tatu viwanja fulani hivi hapa jijini Dar. (si mnajua mambo ya wikiend).
Katika stori akatanabaisha wazi kuwa viongozi wa klabu yenu wamegawanyika katika pande kuu mbili.
Moja:
Inataka kikosi kizima kifumuliwe, yaani waachwe wachezaji wengi kwa wakati mmoja. Wachezaji ambao wana above 33yrs plus local players ambao hawajafanikiwa kuonyesha ushindani.
Mbili:
Huu upande ni ule una idadi kubwa ya viongozi wenye kujaa hofu kwamba kikosi kisifumuliwe bali wapatikane wachezaji wagharama kubwa kama 3 tu ili waone kama watasaidia mtumbwi usizame msimu ujao.
Kundi la kwanza linapendekeza kuondolewa wachezaji wengi kwa mkupuo na kununua wachezaji wengi kwa bei nafuu.
Hilo kundi la pili linahofu kubwa sana kuhusu kuwapo wa wachezaji wengi wapya ambao wataleta changamoto ya kupatikana chemistry kwenye kikosi.
Na ndio sababu ilapelekea hata dili la Adebayor kuingiliwa kati la Berkane huku wao wakibaki wanajibizana.
Kiongozi huyo ikafika hatua akaanza kulalamika kuwa mgawanyiko huo ndio umewarahisishia hata Yanga SC kukamilisha mkataba wa awali na Azizi Ki.
Ushauri wangu ni kwamba msiogope kuondoa wazee hapo klabuni kwenu kwa hofu ya wachezaji wapya kukosa connection mapema.
Bali fanyeni uamuzi wa kweli maana next season Yanga SC watakuja kuwakwaruza panye kidonda..
View attachment 2257546