Simba SC Msiogope Kuwaiga Amazulu FC

Mafanikio hayaji siku moja,,kwenye soka inahitaji uwekeze pesa then uwe mvumilivu ,so kwa kesi ya simba swala la kuacha wachezaji ni sahihi kwao maana wengi wao wameshatumika zaid ya misimu mitatu na consistency yao imeshuka mfn mugalu,kagere,bocco,wawa,thadeo,gadiel hawa wote wanastahili kuachwa then timu ijengwe upya kwa wachezaji wapya but simba hofu yao ni kuwa ni kukosa chemistry msimu ujao n kwel kikosi kitahitaji mudaa ili tu wafikie lengo lao la kubwa la kuja kubeba kombe la africa uvumilivu unahitajika kwa sasa katika timu
 
Kiongozi huyo ikafika hatua akaanza kulalamika kuwa mgawanyiko huo ndio umewarahisishia hata Yanga SC kukamilisha mkataba wa awali na Azizi Ki.
Nadhani lengo lilikuwa kuongelea Ki. Umezunguuka, basi sawa taarifa wamezipata.
 
Mm niliwaambia Side hana hela ila yeye ni dalali tu anatumiwa na watu kuipora Yanga na hili wamefanikishwa na walitumia excessive nguvu kuchukua makombe ili watimize adhima yao ovu, masikini yanga ileee inaangamia
Kama Yanga inaangamia basi Simba ndio itafutika kabsaaaa kwa mwendo ule wa mudi
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…