GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huyo Saido siku akipata stroke uwanjani ndio watajua amezeeka sana.Ukweli ni kwamba 'hawajafukuzwa' Kambini tena wapo na ndiyo wanapewa Mazoezi ya maana na 'Maalum' ya Kucheza na Simba SC hiyo Jumamosi tarehe 28 May, 2022 pale CCM Kirumba.
Yanga SC hivi sasa wameamua Kujikita zaidi na kufanya Propaganda na kutumia 'Mind Game' kuelekea mechi yao na Simba SC ili Kutufunga Kisaikolojia baada ya kugundua kuwa Kiuchawi na Kimchezo ( hasa Uwanjani ) wameshashindwa na Simba SC itashinda bila wasiwasi kwani Kazi Maalum imeshamalizika na Watajuta.
Au siyo🤣🤣🤣Hata Mayele, Djuma Shaban,Aucho ,Farid na Feisal Salum na wenyewe walitoroka kambini ila ndo wakasemehewa wotewote kasoro Ambundo na Saidoo wakafanywa mbuzi wa kafara....kwahyo kuna mgogoro mkubwa sana kwasasa ndani ya timu
Ni wakati wa Simba kurelax na kupunguza presha na kushinda hii Game bila kutumia nguvu sana
KOLO ULIBWANJIII KTK UBORA WAKOOOUkweli ni kwamba 'hawajafukuzwa' Kambini tena wapo na ndiyo wanapewa Mazoezi ya maana na 'Maalum' ya Kucheza na Simba SC hiyo Jumamosi tarehe 28 May, 2022 pale CCM Kirumba.
Yanga SC hivi sasa wameamua Kujikita zaidi na kufanya Propaganda na kutumia 'Mind Game' kuelekea mechi yao na Simba SC ili Kutufunga Kisaikolojia baada ya kugundua kuwa Kiuchawi na Kimchezo ( hasa Uwanjani ) wameshashindwa na Simba SC itashinda bila wasiwasi kwani Kazi Maalum imeshamalizika na Watajuta.
Simba kama timu kuna mahala tuliteleza, Inshallah tutakaa sawa alafu mtakiona cha moto msimu ujao.Makolo mko kinyonge sana msimu huu hahhahaa....
Usiwe mbishi wewe! Hao wachezaji wamefukuzwa kweli kambini kuanzia juzi. Na Mayele naye amesema hatacheza hiyo Jumamosi kutokana na sababu zake tu binafsi! Eti hataki kuwa mfungaji bora wa msimu huu.Ukweli ni kwamba 'hawajafukuzwa' Kambini tena wapo na ndiyo wanapewa Mazoezi ya maana na 'Maalum' ya Kucheza na Simba SC hiyo Jumamosi tarehe 28 May, 2022 pale CCM Kirumba...
hamna lolote nyieee!!ushindi wenu ulikua mpaka muhindi ahonge marefa ndo mpate ushindi!kwa sasa mmekuwa weupeee sanaaa!!Simba kama timu kuna mahala tuliteleza, Inshallah tutakaa sawa alafu mtakiona cha moto msimu ujao.
Kila la kheri, nyie na sisi tukiwa moto ligi inakuwa tamu mno.Simba kama timu kuna mahala tuliteleza, Inshallah tutakaa sawa alafu mtakiona cha moto msimu ujao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Makolo mko kinyonge sana msimu huu hahhahaa....
huyo mwehu tu
Waulize pia niliowaambia wafute ID yangu kwanini hawajaifuta. Jadili mada iliyopo haya ya Mimi kuwepo au kutokuwepo JamiiForums sidhani kama yana effect yoyote katika Maisha ya Lumpen Proletariat na Hypocrite kama Wewe.
Uongo mtupuu.Usiwe mbishi wewe! Hao wachezaji wamefukuzwa kweli kambini kuanzia juzi. Na Mayele naye amesema hatacheza hiyo Jumamosi kutokana na sababu zake tu binafsi! Eti hataki kuwa mfungaji bora wa msimu huu.
Hivyo kama kuna uwezekano, mumshauri kocha wenu Pablo kutoka Real Madrid na Getafe kusitisha yale mazoezi yake maalum kwa mchezaji wake Inonga, ya kumkamia huyo Mayele.
Labda waanze Kagere na UnyangoHuyo Saido siku akipata stroke uwanjani ndio watajua amezeeka sana.
Asa unajua umri wa Saido ni zaidi ya miaka 38?Labda waanze Kagere na Unyango
Nani wachawi sasa kati ya yanga na mikia?unaongea hivyo ili hali hata faini mliopigwa kwa ulozi bado hamjailipaUkweli ni kwamba 'hawajafukuzwa' Kambini tena wapo na ndiyo wanapewa Mazoezi ya maana na 'Maalum' ya Kucheza na Simba SC hiyo Jumamosi tarehe 28 May, 2022 pale CCM Kirumba.
Yanga SC hivi sasa wameamua Kujikita zaidi na kufanya Propaganda na kutumia 'Mind Game' kuelekea mechi yao na Simba SC ili Kutufunga Kisaikolojia baada ya kugundua kuwa Kiuchawi na Kimchezo (hasa Uwanjani) wameshashindwa na Simba SC itashinda bila wasiwasi kwani Kazi Maalum imeshamalizika na Watajuta.