Kidindamahaha
Member
- Apr 27, 2022
- 45
- 43
Hatari xn ilitakiwa watende haki kote kote xio matabaka ya ubaguziHata Mayele, Djuma Shaban,Aucho ,Farid na Feisal Salum na wenyewe walitoroka kambini ila ndo wakasemehewa wotewote kasoro Ambundo na Saidoo wakafanywa mbuzi wa kafara....kwahyo kuna mgogoro mkubwa sana kwasasa ndani ya timu
Ni wakati wa Simba kurelax na kupunguza presha na kushinda hii Game bila kutumia nguvu sana