Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Nafikiri tutaendelea kuelewana mdogo mdogo kwa wale mashabiki oya oya wa simba ambao ni mbumbumbu wa kuiangalia timu yao kiufundi Ina matatizo gani, sasa aya yanayotokea sio kwa bahati mbaya bali ni uwezo wa timu ya simba uko chini sana, na Kama awatashtuka kurekebisha mambo na kuendelea kujifanya wako vizuri uwanjani wataendelea kupokea matokeo Kama aya.
Sijaona clear chance ata moja ambayo simba wameitengeneza kufunga goli, achana na mipira ya kibu Denis ambayo uwezi kusema ni clear chance kwakuwa alikuwa amezongwa na mabeki.
Simba awa awa walikuwa wanaizodoa yanga kwamba uwanja wa taifa yanga inafunga kagoli kamoja kwanini, lakini wao wamepata goli la penalti na Leo wameshindwa kupata ata ilo la penalti licha ya kucheza na timu pungufu mda mrefu, Mkubali mkatae simba iko gonjwa
Sijaona clear chance ata moja ambayo simba wameitengeneza kufunga goli, achana na mipira ya kibu Denis ambayo uwezi kusema ni clear chance kwakuwa alikuwa amezongwa na mabeki.
Simba awa awa walikuwa wanaizodoa yanga kwamba uwanja wa taifa yanga inafunga kagoli kamoja kwanini, lakini wao wamepata goli la penalti na Leo wameshindwa kupata ata ilo la penalti licha ya kucheza na timu pungufu mda mrefu, Mkubali mkatae simba iko gonjwa