Yanga imechagua professional football over drama na traditional ways of doing things na kimsingi wapo serious .
Hakuna mambo ya ulaghai. Kalumanzila na mpira wa mdomoni.. everything ni kwenye pitch , tuoneshe kikosi cha bil 7, otherwise ni drama na traditional ways of doing things.
Very soon SSC anakwenda kuwa underdog kwa Yanga by 80%
There is no shortcut kwenye soka, mpirani mchezo wa wazi kabisa na hakuna njia ya mkato : lakini SSC wapo bado kwenye UDANGANYIFU na Utapeli….. kikosi cha bil 7 , nasema tena bado hamjawa serious na bado mmezoea shortcut…. Kazi mnayo
Yanga kanyaga twende.
Tumechelewa sana . Kombe linaéda kwa YANGA as usual , hakuna timu itakayouweza Yanga kwa miaka 5 mfululizo.