Simba Sc na Morison

USILOLIJUA! USIKU WA KIZA !!!
 
Vp tena mnaanza kulia lia,mwamedi si alisema ameongea naye atabadirika......?? Tabia ya mtu ningumu kubadirika......mlidhani mnaikomoa The Citizens,kumbe mnajitia dole wenyewe....saizi mpelekeni tu milembe
 
USILOLIJUA! USIKU WA KIZA !!!
Hakuna cha kiza wala nn...Timu ya Simba haihitaji wachezaji wasanii na wavivu...Ajibu kwa mkopo ,huyu Morison waongee naye.Asipobadilika naye apelekwe kwny timu ndogo akakue.Simba instakiwa kua na wachezaji wenye spirit ya kupambana kama kwa wachezaji wengi wa Yanga.La sivyo tuna hatihati kubwa ya kuchukua ubingwa msimu huu
 
WAMEINGIA CHA IKE WAAAAH! CHAKIKEEEE....... Morrison ana Busha. Habari take KWA SOKA LA bongo kwisha.
 
Baada ya mechi akaenda kukaa sehemu waliyopo wachezaji wa Yanga. Huyu jamaa atakuwa anashida kichwani.
Kumbe na wewe uliona ,huyu jamaa anadhani anakomoa watu ,alikuwa anapasha baada ya kuona hajaingizwa ndo akaenda kukaa huko kwa wachezaji wa yanga ,nasikia majeraha ni uwongo ,ukweli ni kwamba Simba walikasirishwa na hicho kitendo chake
 
Kumbe na wewe uliona ,huyu jamaa anadhani anakomoa watu ,alikuwa anapasha baada ya kuona hajaingizwa ndo akaenda kukaa huko kwa wachezaji wa yanga ,nasikia majeraha ni uwongo ,ukweli ni kwamba Simba walikasirishwa na hicho kitendo chake
Uzuri hata yeye mwenyewe ashagundua fika kwambasi tegemezi hata kidogo ndani ya Simba Sc.Asiposhtuka mapema ,basi atafungashiwa virago muda si mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…