Simba SC Nawapenda mno, ila kwa hili mtanisamehe kwani nahisi kuna tatizo mahala

Nilikuwaga mshabiki wa Simba kindakindaki lakini baadae nkajagundua ni ujinga, ninayo Mambo ya muhimu zaidi kudeal nayo kuliko kuifuatilia Simba sana. Mara moja moja sana kuifuatilia Simba.
 
Simba bado haijajipanga mambo mengi wanakurupuka Yanga wapo vizuri sana wanapanga mambo yao kitaalamu zaidi tusubiri ngao ya hisani ndio watu watajua ubora na mipango ya Yanga inavyolipa
Friends of simba ndio adui nambari wani wa Simba
 
We jamaa nishakujua. Kwa uandishi huu wewe ni mtoto wa mzee Sandey. Unatusumbua instagram kule
 
Ndo kwanza hata ngao ya jamii hamjapasuka.Muda ni mwalimu mzuri
 
Uongozi wa Jamiiforum waangalie namna ya kuweka sheria kuwa kuanzisha nyuzi mwisho ni nyuzi tatu kwa siku la sivyo kuna machizi kama chizi wa uzi huu hawana break katika kuanzisha nyuzi.
 
Ukiwa serious na soka la Bongo utajiumiza Bure.

VIONGOZI wengi ni Mburura, ZUMBUKUKU.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Me nilishaacha kuumiza kichwa na soka la bongo nawaangalia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…