Simba SC ni baba anayeishi na mtoto snitch msaliti wa hali ya juu

T

Tukumbushe miaka ya karibuni Simba wakifanya ujinga huo...Yanga wamezidi hata Wabunge shaabiki was Yanga walikuwa wanashangilia Kaiser Tena Ndani ya Binge...ama kweli jina Lina sadifu utopolo!!
hadi bashiru kwa mara ya kwanza siku ile alitabasamu kisa simba kafungwa hawa jamaa kwa furaha waliacha hata kulalamikia goal walilonyimwa vs namungo ,ila nawaonea huruma sana wanapuyanga sana
 
Simba wasahaulifu hivi mnakumbuka mechi ya Mazembe,Manji alilipia uwanja mzima ili MASHABIKI WA YANGA WAINGIE BURE mnakumbuka!!!! na nyinyi mkaingia bure tena mkihamasishwa na msemaji wenu kwa lugha za kuiponda Yanga mkaishangilie Mazembe na kweli tulifungwa mkashangilia sana.

Sasa Yanga kosa lao ni nini kufanya mlichofanya nyinyi kwa Mazembe au ndio mshasahau.

Kipindi kile cha Manji ,Manara kishaiombea Yanga mabaya mara ngapi? Acheni kuwa wasahaulifu kwani leo Yanga wamekifanya mlicho wafanyia wao kwa Mazembe na shangaa mnalalamika.

Msiwe wasahaulifu alafu uzuri leo mashabiki wa Yanga walitumia hela zao kwenda kutizama mechi ,husimpangie ashangilie mechi gani,ila nyinyi mlijipenyeza na kuingia BURE wakati Manji aliwalipia mashabiki wa Yanga so ndio mpira wetu huu.
 
Kikubwa mmetoka hizo porojo hazina msaada Kwetu kama mnaona ishu pelekeni ihefu
 
Malipo yako ya wewe na Tff tulilala tukaota yatakua mabaya Sana endeleeni kusikilizia maumivu kila mtu ashabikie team yake
 
Wapi Simba SC walikwenda kupokea wapinzani (wageni) Airport? Huo upuuzi upo huko kwenu Utopoloni na ndo maana kuna Kamati ya Mapokezi.
 
HISTORIA YAKO WEWE IMEANZIA HAPO? kwa taarifa yako before 1993 hakukuwaga na ujinga huo..utopolo walianzisha kwenye fainali ya kombe la CAF uwanja wa taifa second leg...mechi ya kwanza kule abidjan simba 0-stella abidjan 0..bolizozo katupiga goals 2 zikawekwa hsitoria mbili ,mgeni rasmi huku akishuhudia kombe la afrika likienda cote de ivoire mzee mwinyi akasema tanzania kwenye soka ni kichwa cha mwendawazimu na utopolo kuimba UZALENDO UMETUSHINDA..hopeless kabisa nyie watu nawakumbusha tu wembe mnaoulilia hamuuwezi embi oneni hili kundi mchekea kabisa mkatia aibu pungauni nyie
 
Wapi Simba SC walikwenda kupokea wapinzani (wageni) Airport? Huo upuuzi upo huko kwenu Utopoloni na ndo maana kuna Kamati ya Mapokezi.
kabisa na per diem inatoka klabuni inachekesha kweli eti nao wanataka kwenda kimataifa sijui wanadhani kule kuna kina asukile wa kuwaambia tutawapa dollar 20,000 team nzima mtuachie magoli?labda wakutane na team ya somalia kwenye shirikisho maana mabingwa tunaenda sisi na azam.
 
Kumbe historia unaijua sasa unalalamika nini wakati nyie mshafanya kama alivyo fanya leo Yanga,cha msingi tuvumiliane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…