Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuiongelea Yanga ni matumizi mabaya ya akiliSimba kuiongelea na Yanga katika sentesi moja ni kama vile mazoea tu ila haistahili kabisa
Kubishana na mashabiki wa Yanga ni matumizi mabaya ya ubishiKuiongelea Yanga ni matumizi mabaya ya akili
Kumtolea tamko mpuuzi kama.yule.ni kujishushaSasa imekuwa ni kawaida kila ambapo Mtangazaji huyu Maulid Kitenge akiwa katika Kipindi tegemea kusikia Habari mbaya (negative) tu ya Kuihusu Simba SC.
Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona kabisa kuwa huwa anafanya Makusudi na Kudhamiria Kuichokonoa na Kutangaza Habari hasi (mbaya) kuihusu Klabu ya Simba.
Kwa mfano kwa Sisi Watu wa Michezo na wengine tuna bahati Kubwa ya kuwa na Marafiki Yanga SC, Azam FC, Simba SC, Namungo FC na hadi Mtibwa FC hivyo tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana) ila Mtangazaji Kitenge hayagusii.
Siishabikii Simba SC wala Yanga SC ila nadhani sasa imefikia muda Uongozi wa Simba SC utoe tamko lake Kali/ Zito Kwake Maulid Baraka Kitenge.
Simulia habar yote basi mkuu mbona umekomeshea njiani ?tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana)
Una proof na ulichokisema hapo juu mkuu?
Wewe mwenyewe mzushi afu unamsema Kitenge! Acheni gubu nyie mikia mnataka kusifiwa tu!?Sasa imekuwa ni kawaida kila ambapo Mtangazaji huyu Maulid Kitenge akiwa katika Kipindi tegemea kusikia Habari mbaya (negative) tu ya Kuihusu Simba SC.
Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona kabisa kuwa huwa anafanya Makusudi na Kudhamiria Kuichokonoa na Kutangaza Habari hasi (mbaya) kuihusu Klabu ya Simba.
Kwa mfano kwa Sisi Watu wa Michezo na wengine tuna bahati Kubwa ya kuwa na Marafiki Yanga SC, Azam FC, Simba SC, Namungo FC na hadi Mtibwa FC hivyo tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana) ila Mtangazaji Kitenge hayagusii.
Siishabikii Simba SC wala Yanga SC ila nadhani sasa imefikia muda Uongozi wa Simba SC utoe tamko lake Kali/ Zito Kwake Maulid Baraka Kitenge.
Ni Mpumbavu aliyevuka mipaka na Kiwango cha Kumvumilia kwa wana Simba SC kinaelekea Ukingoni. Asije Kulaumu tu Wanaomjua wakifunguka.Asante kwa kutupa taarifa kuwa Yanga sc Kuna fukuto, Ila hujatwambia kitenge kafanya nini baya kwa Simba sc Kama kichwa Cha uzi wako.
Unaposema kuwa Mtangazaji Maulid Kitenge kafanya nini wakati nimeshaelezea hapo katika Maelezo ni kunitafuta tu Ubaya kisha Unichukie pia.Ni kweli Kitenge ni mshabiki mkubwa wa Utopolo na huwa anatafuta hbari za simba kuzifanya mbaya ili kuwavuruga mashabiki?
Sasa hadi umeandika amefanya nini tena? Maana tunashindwa hata kumjadili
Kama naweza Kutabiri ( tena kwa kujiamini ) kuhusu Matokeo ya Taifa Stars hadi Mfungaji wake nitashindwa kujua yanayoendelea huko Yanga SC?tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana)
Una proof na ulichokisema hapo juu mkuu?
Huwa siyumbishwi na sipotezewi muda na Wanaume Wasukuma Ukuta kama Wewe na isitoshe huna Hadhi ya Kushindana nami kuhusu hii Mipira.Mijitu mingine akili yao hovyo wewe umejuaje kuwa Yanga kuna fukuto tatu una ushahidi gani hivi na wewe ukiitwa mchochezi kama unavyodai kwa Kitenge basi mpelekeni msena hovyo Manara akawapambe simba maana mnapenda sifa msiostahili
abuu bin umar seydun and Hazard CFC are partners in Foolishness.Ni kweli...
Yule mwarabu koko wao akitukana wao wanakenua tu na kufurahi
Matokeo ya taifa stars kesho yatakuwaje boss pamoja na wafungajiKama naweza Kutabiri ( tena kwa kujiamini ) kuhusu Matokeo ya Taifa Stars hadi Mfungaji wake nitashindwa kujua yanayoendelea huko Yanga SC?
Subiria filimbi ya mwisho ya Mwamuzi kwani wengi wenu mmekalia tu Unafiki na Sanifu hivyo kuanzia leo sitotoa tena hapa Utabiri wangu Kwenu.Matokeo ya taifa stars kesho yatakuwaje boss pamoja na wafungaji
Certified idiotNi kweli...
Yule mwarabu koko wao akitukana wao wanakenua tu na kufurahi
Sasa imekuwa ni kawaida kila ambapo Mtangazaji huyu Maulid Kitenge akiwa katika Kipindi tegemea kusikia Habari mbaya (negative) tu ya Kuihusu Simba SC.
Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona kabisa kuwa huwa anafanya Makusudi na Kudhamiria Kuichokonoa na Kutangaza Habari hasi (mbaya) kuihusu Klabu ya Simba.
Siishabikii Simba SC wala Yanga SC ila nadhani sasa imefikia muda Uongozi wa Simba SC utoe tamko lake Kali/ Zito Kwake Maulid Baraka Kitenge.