SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyo Kijola gongowazi lialia kitambo tu.Kitenge shabiki wa Simba labda Kuna fursa aliikosa au anaigiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Kijola gongowazi lialia kitambo tu.Kitenge shabiki wa Simba labda Kuna fursa aliikosa au anaigiza
Mbona kama wewe ndo una roho mbaya kwa yanga umeandika umbea mbea tu. Mara calihnyo sijui mukoko ulienda kupiga chabo wapi ukaona wanarogana. Haya na kitenge kaleta umbea gani?Sasa imekuwa ni kawaida kila ambapo Mtangazaji huyu Maulid Kitenge akiwa katika Kipindi tegemea kusikia Habari mbaya (negative) tu ya Kuihusu Simba SC.
Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona kabisa kuwa huwa anafanya Makusudi na Kudhamiria Kuichokonoa na Kutangaza Habari hasi (mbaya) kuihusu Klabu ya Simba.
Kwa mfano kwa Sisi Watu wa Michezo na wengine tuna bahati Kubwa ya kuwa na Marafiki Yanga SC, Azam FC, Simba SC, Namungo FC na hadi Mtibwa FC hivyo tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana) ila Mtangazaji Kitenge hayagusii.
Siishabikii Simba SC wala Yanga SC ila nadhani sasa imefikia muda Uongozi wa Simba SC utoe tamko lake Kali/ Zito Kwake Maulid Baraka Kitenge.
Umeongea madini.Sasa imekuwa ni kawaida kila ambapo Mtangazaji huyu Maulid Kitenge akiwa katika Kipindi tegemea kusikia Habari mbaya (negative) tu ya Kuihusu Simba SC.
Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona kabisa kuwa huwa anafanya Makusudi na Kudhamiria Kuichokonoa na Kutangaza Habari hasi (mbaya) kuihusu Klabu ya Simba.
Kwa mfano kwa Sisi Watu wa Michezo na wengine tuna bahati Kubwa ya kuwa na Marafiki Yanga SC, Azam FC, Simba SC, Namungo FC na hadi Mtibwa FC hivyo tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana) ila Mtangazaji Kitenge hayagusii.
Siishabikii Simba SC wala Yanga SC ila nadhani sasa imefikia muda Uongozi wa Simba SC utoe tamko lake Kali/ Zito Kwake Maulid Baraka Kitenge.
Mpuuzi tu huyo. Mwanaume akishakua na kidoti kisha hana kisogo jua anapumuliwa kwenye flat kisogo chakeSasa imekuwa ni kawaida kila ambapo Mtangazaji huyu Maulid Kitenge akiwa katika Kipindi tegemea kusikia Habari mbaya (negative) tu ya Kuihusu Simba SC.
Na hata kwa wale mliobobea vyema katika Saikolojia hasa ya Kimwonekano (Body Language) tu ukimuangalia Maulid Kitenge kupitia YouTube utaona kabisa kuwa huwa anafanya Makusudi na Kudhamiria Kuichokonoa na Kutangaza Habari hasi (mbaya) kuihusu Klabu ya Simba.
Kwa mfano kwa Sisi Watu wa Michezo na wengine tuna bahati Kubwa ya kuwa na Marafiki Yanga SC, Azam FC, Simba SC, Namungo FC na hadi Mtibwa FC hivyo tunajua kuwa huko Yanga SC kuna Mafukuto matatu yanaendelea yakiwemo ya Kocha Kaze na Kiungo Mukoko, Wasemaji wao wawili Kugombana kila mara hadi Kutishiana na Mchezaji kutoka Angola Carlinhos Kugoma Kucheza hadi amaliziwe Pesa yake huku la mwisho likiwa ni Malalamiko ya Wachezaji Kurogana (Kuumizana) ila Mtangazaji Kitenge hayagusii.
Siishabikii Simba SC wala Yanga SC ila nadhani sasa imefikia muda Uongozi wa Simba SC utoe tamko lake Kali/ Zito Kwake Maulid Baraka Kitenge.
Na zile safari zake za unyamwezini tunajua anampelekea nani.Mpuuzi tu huyo. Mwanaume akishakua na kidoti kisha hana kisogo jua anapumuliwa kwenye flat kisogo chake
Kwani wewe umeacha kuinamishwa? Itakua ajabu mchawi kuacha kuroga.Mashabiki wengi wa mbumbumbu fc nba shida Sana. Hakuna mwezi unaweza kukata Mabara Hajaenda Wasafi. Hata mkuu wa bodi nae Lila siku anashinda Wasafi. Kazi za Simba zinafanyiwa promo kubwa Wasafi. Sasa ninyi mnajifanya mna akili kuliko uongozi wenu?
Kila siku Magori anasikiliza Wasafi , na kufanya baadhi ya mambo ya klabu yenu.
Acha CHUKI za kijinga UTAPUMULIWA DOGO
Kijola boya tu.Safi sana kitenge chapa kaz