Simba SC Ole wenu Mumsainishe huyo Mzungu 'Mserbia' badala ya Manzoki nitatoa sasa SIRI za ndani za Klabu na mtatafutana na Kuumbuka

Simba SC Ole wenu Mumsainishe huyo Mzungu 'Mserbia' badala ya Manzoki nitatoa sasa SIRI za ndani za Klabu na mtatafutana na Kuumbuka

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nasikia muda wowote Mzungu 'Mserbia' anasainishwa na Kutangazwa badala ya Mchezaji ambaye wana Simba SC wote tunamtama, anajua Kufunga na tumemsubiria muda mrefu Ceaser Lobi Manzoki.

Naandaa sasa Nondo zangu za SIRI za Ndani kabisa juu ya yanayoendelea ndani ya Simba SC na yaliyopita hadi tumekosa Makombe yote muhimu na kufanya vibaya CAFCL na CAFCC.

Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara Gonzalez, Mjumbe Mulamu na Mwenyekiti Murtaza huyo Mzungu akisinya tu Simba SC jiandaeni Kisaikolojia kwani GENTAMYCINE nitaenda Kuyaanika Makubwa yenu na ya Hatari hapa hapa.

Mkitaka nipoe leo Manzoki asajiliwe!!!
 
Simba bado wana nafasi ya kusajili wachezaji wawili. Huenda Manzoki akawa wa mwisho kusajiliwa! Tuvute subira mkuu ingawa hata Mimi binafsi nitaumia sana Manzoki asiposajiliwa
 
Mbona mzee unahangaika sana simba wameshamalizana na manzoki ila bado hajamaliza mkataba hivyo mpaka amalize mkataba hata kama kweli akisaini hyo mseribia bado manzoki ni mali ya simba halafu napata mashaka kama ww ni simba kweli maana mambo yako ni kama manara hamtofautiani.
 
Mkuu mbona kama kuyaanika tangu Jana hadi Leo umefungua karibia Uzi 5 ila hakuna athari yoyote ambayo imetokea kutokana na hizo thread zako

Watu tumeamua kukupuuza mkuu, kwahiyo wewe ata usitishie watu we funguka tu hadi moyo wako ubaki mweupeeee

Tangu kumekucha ushaleta Uzi wa
Barbara haelewani na Mangungu
Barbara kamuwamba makofi Ahmed
Mo hajaweka 20b
Kwanini jezi zimechelewa kutoka
Simba kununua mechi za ligi kuu

Pamoja na nyuzi zote hizo ila hatujaona kama umeivua nguo Simba, watu wamekupuuza na kubaki unashangiliwa na Mashabiki wa Yanga kama kawaida yao

Sasa sijui umebakiza Mambo gani hayo ambayo wewe unahisi yataishtua Simba na viongozi wake
 
Nasikia muda wowote Mzungu 'Mserbia' anasainishwa na Kutangazwa badala ya Mchezaji ambaye wana Simba SC wote tunamtama, anajua Kufunga na tumemsubiria muda mrefu Ceaser Lobi Manzoki.

Naandaa sasa Nondo zangu za SIRI za Ndani kabisa juu ya yanayoendelea ndani ya Simba SC na yaliyopita hadi tumekosa Makombe yote muhimu na kufanya vibaya CAFCL na CAFCC.

Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara Gonzalez, Mjumbe Mulamu na Mwenyekiti Murtaza huyo Mzungu akisinya tu Simba SC jiandaeni Kisaikolojia kwani GENTAMYCINE nitaenda Kuyaanika Makubwa yenu na ya Hatari hapa hapa.

Mkitaka nipoe leo Manzoki asajiliwe!!!
Yaani Simba iumbuke kwajili yako .... ushakuwa Bughati part 2!
 
Narudia tena, Simba hawawezi kumwacha Manzoki!
 
Simba bado wana nafasi ya kusajili wachezaji wawili. Huenda Manzoki akawa wa mwisho kusajiliwa! Tuvute subira mkuu ingawa hata Mimi binafsi nitaumia sana Manzoki asiposajiliwa
Manzoki ameshaongeza mkataba na timu yake mpaka 2025! Hizi ni tetesi tu lakini. Hivyo kama kweli simba inamtaka, basi italazimika kuvunja benki.

Je, Dr. Mo yuko tayari kwa hilo?
 
Nasikia muda wowote Mzungu 'Mserbia' anasainishwa na Kutangazwa badala ya Mchezaji ambaye wana Simba SC wote tunamtama, anajua Kufunga na tumemsubiria muda mrefu Ceaser Lobi Manzoki.

Naandaa sasa Nondo zangu za SIRI za Ndani kabisa juu ya yanayoendelea ndani ya Simba SC na yaliyopita hadi tumekosa Makombe yote muhimu na kufanya vibaya CAFCL na CAFCC.

Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara Gonzalez, Mjumbe Mulamu na Mwenyekiti Murtaza huyo Mzungu akisinya tu Simba SC jiandaeni Kisaikolojia kwani GENTAMYCINE nitaenda Kuyaanika Makubwa yenu na ya Hatari hapa hapa.

Mkitaka nipoe leo Manzoki asajiliwe!!!
YAANIKE SASA
 
Huyu Ni Ndumilakuwili Sana Anapenda Nongwa Mno
 
Back
Top Bottom