Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Umeongea ukweli kabisahivi unajua MO katumia sh ngapi kusajili kwa ajili ya klabu bingwa afrika? hela yake itarudi? muda si mrefu wachezaj wataanza kugoma kwa kucheleweshewa mishahara
simba wamempa hasara kubwa sana mo kwa kutolewa mapema huku bado ana mzigo wa kuihudumia timu mpaka mwisho wa msimu na ligi ndio hata haijaanza, tuone kitakachotokeaUmeongea ukweli kabisa
Watu wanaongea tu kirahisi tujipange kwasababu hawajui gharama za kuendesha club.
Huwezi kumlipa mbrazili 15m ili aje acheze na Namungo fc
Utafanyaje sasa imeshatokea utanunua ud songo au yanga ambao wapo kwenye club bingwa yule mfanya biashara hizi risk zilijulikana na zina probability yake yakutokea ..... Pia kuna changamoto ya kucheza vizuri ligi nzima iishe ili upate nafasi sina uakika na yanga kama wataperfom vizuri kias kwamba tupewe chance kama hii ipo ligi ile ya sportpesa tunaitaji kucheza na everton ipo ya azam cup ipo na tpl .....kama hukujua ndo ivyo kila kitu kina hasara zake na faida zakeUmeongea ukweli kabisa
Watu wanaongea tu kirahisi tujipange kwasababu hawajui gharama za kuendesha club.
Huwezi kumlipa mbrazili 15m ili aje acheze na Namungo fc
Mishahara kitu gani Mchakato wa uanachama unaanza soon tutaingizia timu mabilioni ya kutoshahivi unajua MO katumia sh ngapi kusajili kwa ajili ya klabu bingwa afrika? hela yake itarudi? muda si mrefu wachezaj wataanza kugoma kwa kucheleweshewa mishahara
hizo kadi ziko miaka yote na hayo mabilioni hayajapatikana. unadhani ni rahisi rahisi hivyo?Mishahara kitu gani Mchakato wa uanachama unaanza soon tutaingizia timu mabilioni ya kutosha
Mbona hata mechi ya klabu bingwa walikuwa wanachoma mahindi?Umeongea ukweli kabisa
Watu wanaongea tu kirahisi tujipange kwasababu hawajui gharama za kuendesha club.
Huwezi kumlipa mbrazili 15m ili aje acheze na Namungo fc
Siyo rahisi ivyo kwao team za kkooMishahara kitu gani Mchakato wa uanachama unaanza soon tutaingizia timu mabilioni ya kutosha
bro unazingua ujue ...uchebe uwezo wake umefika mwisho...Ni kweli inatuuma
Lakini mimi naona ni wakati wa mwalimu sasa kujenga timu anayoitaka kwa msimu mzima tutumie usajili wa dirisha dogo kuziba mapengo.
Kisha usajili mkubwa kuingeza mtu mmoja au wawili sio lundo la wachezaji
Hapaswi kulaumiwa yeyote Timu imecheza vizuri kila mchezaji kajituma
Kocha kafanya sub nzuri tu
Bahati haikuwa upandw wetu
WE ARE SIMBA
NGUVU MOJA
Lakini kwa upande mwengine imempunguzia gharama za kusafirisha na kuhudumia timu kuelekea kwenye mechi za kimataifa na hatimaye isifikie hatua iliyofikia mwaka jana. Maana kwa mtizamo wa jicho la tatu, Simba ile ingetolewa mapema hata kama ingefanikiwa kuitoa UD Songo.simba wamempa hasara kubwa sana mo kwa kutolewa mapema huku bado ana mzigo wa kuihudumia timu mpaka mwisho wa msimu na ligi ndio hata haijaanza, tuone kitakachotokea
simba walitegemea faida kupitia michuano hii kwa mapato ya uwanjani, kuuza jezi na kadi, fedha kutoka caf, wadhamini, kuuza wachezaji nje, gharama za usafiri ni ndogo mfano walivyoenda msumbiji wametumia sio zaidi ya milioni 100, wakati mapato ya uwanjani ni zaidi ya milioni 200, tayari hapo ni faida, sasa hivi mapato ya uwanjan yatapungua , hiyo ni hasaraLakini kwa upande mwengine imempunguzia gharama za kusafirisha na kuhudumia timu kuelekea kwenye mechi za kimataifa na hatimaye isifikie hatua iliyofikia mwaka jana. Maana kwa mtizamo wa jicho la tatu, Simba ile ingetolewa mapema hata kama ingefanikiwa kuitoa UD Songo.
Jana si Leohizo kadi ziko miaka yote na hayo mabilioni hayajapatikana. unadhani ni rahisi rahisi hivyo?
Watu wanazipenda hizi timu michakato tu haikuwa wazi subiri zoezi lianze kila mwana simba atahitaji kadiSiyo rahisi ivyo kwao team za kkoo
b
bro unazingua ujue ...uchebe uwezo wake umefika mwisho...
Ha ha ha usiwaamini sana wapiga kelele ambao hata buku au kwenda uwanjani hawaendi kusupport team ila kelele nyingiWatu wanazipenda hizi timu michakato tu haikuwa wazi subiri zoezi lianze kila mwana simba atahitaji kadi