Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Ni kweli inatuuma
Lakini mimi naona ni wakati wa mwalimu sasa kujenga timu anayoitaka kwa msimu mzima tutumie usajili wa dirisha dogo kuziba mapengo.
Kisha usajili mkubwa kuingeza mtu mmoja au wawili sio lundo la wachezaji
Hapaswi kulaumiwa yeyote Timu imecheza vizuri kila mchezaji kajituma
Kocha kafanya sub nzuri tu
Bahati haikuwa upandw wetu
WE ARE SIMBA
NGUVU MOJA
Lakini mimi naona ni wakati wa mwalimu sasa kujenga timu anayoitaka kwa msimu mzima tutumie usajili wa dirisha dogo kuziba mapengo.
Kisha usajili mkubwa kuingeza mtu mmoja au wawili sio lundo la wachezaji
Hapaswi kulaumiwa yeyote Timu imecheza vizuri kila mchezaji kajituma
Kocha kafanya sub nzuri tu
Bahati haikuwa upandw wetu
WE ARE SIMBA
NGUVU MOJA