CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Klabu ya Simba kupitia mtendaji mkuu wake Bi Barbara Gonzalenz imesema tangu walipoanzisha utaratibu wa kuchangia ujenzi wa uwanja wa Klabu kuanzia mwezi wa 12 mwaka 2021 hadi Mwezi huu wamekusanya Milion 60 tu.
Karibuni wanaJF tujadiliane ukweli wa taarifa hii.
Karibuni wanaJF tujadiliane ukweli wa taarifa hii.