kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kapicha mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakua, kaachana na utotoIla genta siku izi kama mstaarabu, kipindi Cha nyuma ukikoment ujinga au usipokubaliana nae kwenye Uzi wako jamaa atakupopoa mpaka uombe poo
Zungumza vitu vya maana, au ulitaka ukampe wewe?Swali langu kwanini eng amfire kabwili?kwanini?mbn mambo ya ajabu haya katika soka
Wale wasio Wapumbavu kama Wewe.Nani kamfungulia huyu jukwaa la Michezo?
Rage ni nabiiSwali langu kwanini eng amfire kabwili?kwanini?mbn mambo ya ajabu haya katika soka
Alisema SSC ni mbumbumbu sports clubRage ni nabii
Aondoke ucheze weweTokea juzi kataarifiwa arejee Kambini kuungana na Wenzake Yeye kwa dharau hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi hajaenda na yuko Kisiwani Zanzibar amekula tu Bata (Starehe) na Mademu wa Kitalii ambao huwa anawapenda hakuna mfano.
Chama tumekuvumilia vya kutosha tafadhali achana na Simba SC na nenda huko Yanga SC wanakokupa hiki Kiburi chote sawa?
Jeuri iyo uwa anayo yanga peke yake, Kama mnayo iyo jeuri jaribuni muone,Tokea juzi kataarifiwa arejee Kambini kuungana na Wenzake Yeye kwa dharau hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi hajaenda na yuko Kisiwani Zanzibar amekula tu Bata (Starehe) na Mademu wa Kitalii ambao huwa anawapenda hakuna mfano.
Chama tumekuvumilia vya kutosha tafadhali achana na Simba SC na nenda huko Yanga SC wanakokupa hiki Kiburi chote sawa?