Simba SC tumechoka sasa dharau za Clatous Chama tafadhali aachwe upesi

Simba SC tumechoka sasa dharau za Clatous Chama tafadhali aachwe upesi

Iko wazi kabisa, Chama ni Mkunwa kuliko MANDUNDUKA YOTE
 
Tokea juzi kataarifiwa arejee Kambini kuungana na Wenzake Yeye kwa dharau hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi hajaenda na yuko Kisiwani Zanzibar amekula tu Bata (Starehe) na Mademu wa Kitalii ambao huwa anawapenda hakuna mfano.

Chama tumekuvumilia vya kutosha tafadhali achana na Simba SC na nenda huko Yanga SC wanakokupa hiki Kiburi chote sawa?
Aondoke ucheze wewe
 
Tokea juzi kataarifiwa arejee Kambini kuungana na Wenzake Yeye kwa dharau hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi hajaenda na yuko Kisiwani Zanzibar amekula tu Bata (Starehe) na Mademu wa Kitalii ambao huwa anawapenda hakuna mfano.

Chama tumekuvumilia vya kutosha tafadhali achana na Simba SC na nenda huko Yanga SC wanakokupa hiki Kiburi chote sawa?
Jeuri iyo uwa anayo yanga peke yake, Kama mnayo iyo jeuri jaribuni muone,
Kwa Sasa anasaka mkataba mpya na mtampa Kama mlimpigia magoti kumuomba msamaha kwanini asiwe yesu wenu apo ukoloni!
 
Back
Top Bottom