Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Chief soko la tanzanite napata wapi!?Wachawi bhana..eti nacheka..washabiki wanaishabikia timu yenye rangi ya mavi yaaani njano na kijani,lazima mpinge kila kitu kinackofanywa na Simba,hatutegemei muongee mazuri kwa Simba mtabaki mkicheka kichawi tu.
Yanga ni kikundi cha wachawi na majini.