Simba SC v Young Africans SC

muziki wa leo ni zaidi ya ule wa Libolo........
Ahsante Mkuu, kuna watu
wanafiki sana humu ndani halafu wanajiita watakatifu, narudia tena YANGA
KAMA LIBOLO!
 
Hapa ndio najikumbuka enzi zangu; Zizouuuuuuuuuuuuuuu
 
Game kama hii mtu kama Tegete anaweza kujikumbushia kumtungua Kaseja,kama vp aingie tu
 
Haya tunakwenda kipindi cha pili hapa lazima goli mbili nimeziona za Yanga hadi mwisho Yanga 3 simba 0,ambaye hataki aache.
 
Zikifika 3 basi ujue 5 hizooo...kwenye kona
 
Huko nje kuko full bado na mashabiki wamezuiwa kuingia.

Kipindi cha pili ndio kinaanza sasa.
Here we go.................!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…