samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 355
Game droo hii
Zile Malta za Mfadhili wenu zina kilevi zile,aliyekosa penalt ni Mudde siyo Mkudembona nasikia mkude ndo kakosa penati..
Rage katuharibia timu! Yaani mdebwedo mwanzo mwisho! Aaaargh! Yanga mwaka wenu huuuu!
Leo nitalala vizuri jamani niliahidi m5.
Zile Malta za Mfadhili wenu zina kilevi zile,aliyekosa penalt ni Mudde siyo Mkude
Mussa Muddembona nasikia mkude ndo kakosa penati..
aaahhhh nimekusoma ndala fc..
Mbuyu Twitte anachezewa rafu na Sunzu