Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoporo mtasema mengi leo, ila hajawahi hata kutoka sare na hawa wagosi, but Simba tumeshawapigabado sijawa impressed namna simba wanavyo cheza.
game kama hii ya leo walitakiwa washinde hata bao 5 lkn wachezaji wa simba hawako serious kabisa.
poor communication btn players, poor execution,
Costal ni mtoto wa shangazi ifike pahala Simba isimuadhibu kikatili sana kama alivyoadhibiwa 1st round.bado sijawa impressed namna simba wanavyo cheza.
game kama hii ya leo walitakiwa washinde hata bao 5 lkn wachezaji wa simba hawako serious kabisa.
poor communication btn players, poor execution,
Sema hawa coastal union wameamua kula pesa ya simba, huku wameshajua wanashuka daraja, hivi simba sports club wataacha lini kununua hizi game
Uwenda kwakweli,ila sio misumari kweli,MK 14 wakucheka na nyamu atleast kwa kila mechi leo hii anazurula tu uwanjani mpaka unajuta kwanini kaingizwa.Tukubaliane muda wa Kagere ulishapita
Kibendera kambeba Sana dubeHii ilikuwa mechi ya Boko na Mugalu kumuacha mbali Dube.
Maandalizi ya tarehe 25 Kigoma?