OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Au Line1 kalewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nanyi mtaanza kununua hela si mnazo saiviSema hawa coastal union wameamua kula pesa ya simba, huku wameshajua wanashuka daraja, hivi simba sports club wataacha lini kununua hizi game
Hilo la kumalizana na refa wewe ndio umesema sio mimiKwahiyo Lines man mngemaliza nae mapema now zingekuwa saba zimefika
Hizo ni bla bla zako ili ufurahishe nafsi kujiridhisha au kuonyesha na wewe umeongea chochote maana hata unachokisema hakihusiani na mechi, mtachanganyikiwa mwaka huu.Kwahiyo mtaa ha lini kununua hizi game na kupulizia dawa kwenye dressing room
Sawa mbeleko FCHizo ni bla bla zako ili ufurahishe nafsi kujiridhisha au kuonyesha na wewe uneongea chochote maana hata unachokisema hakihusiani na mechi ,mtachanganyikiwa mwaka sana
Huwa wanajiona wao ndo kama wagunduzi wa "Time travel"Wanakupa mzuka kabla ya ww hujaona hahahhah
Wivu humuua mtu mjinga 😂😂Kinachoendelea kule kwa Mkapa Stadium, ni comedy tupu. Pipa na mfuniko wanapepetana.
Hivi unafanya nini humu kwny uzi wa Mabingwa hahahahah unatesekea kutoka Dimbwi lipi Chura weyeKinachoendelea kule kwa Mkapa Stadium, ni comedy tupu. Pipa na mfuniko wanapepetana.
Vumilia hata kama unaumia, maumivu yako tunayaelewa.Kinachoendelea kule kwa Mkapa Stadium, ni comedy tupu. Pipa na mfuniko wanapepetana.
Mbeleko FC ndo mabingwa wa nchiHivi unafanya nini humu kwny uzi wa Mabingwa hahahahah unatesekea kutoka Dimbwi lipi Chura weye
Hapana we mtafute Miquissone Luis ili tupate mbegu hiyoo ohoo changamkeni dadazetu !!!😂Huyu Bocco angekua sijaolewa ningemtafuta. Natania wadauuu hahahahha
Huyo mbegu fupi sana jamani khaaaHapana we mtafute Miquissone Luis ili tupate mbegu hiyoo ohoo changamkeni dadazetu !!!😂
Hao vyura huwa hawamalizagi kuangalia mechi za simbaHivi unafanya nini humu kwny uzi wa Mabingwa hahahahah unatesekea kutoka Dimbwi lipi Chura weye