Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Tulia bwashee mambo ya manyama hamyawezi nyie vyura wa JangwaniChukueni tu, ila sisi tutakuwa tunawafunga basi tena kila msimu tunawapiga nje ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia bwashee mambo ya manyama hamyawezi nyie vyura wa JangwaniChukueni tu, ila sisi tutakuwa tunawafunga basi tena kila msimu tunawapiga nje ndani
Sana wamenyima mtu laki hapa!Simba mnaboa
Miwili tena kwa Mugalu. [emoji1787][emoji1787]Mugalu abakiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Uto ndo mliyobakizaSema hawa coastal union wameamua kula pesa ya simba, huku wameshajua wanashuka daraja, hivi simba sports club wataacha lini kununua hizi game
Kaingie basi we uwanjani Kama unaona uchungu coastal kufungwaSema hawa coastal union wameamua kula pesa ya simba, huku wameshajua wanashuka daraja, hivi simba sports club wataacha lini kununua hizi game
Ni matumizi mabaya ya pesa na mpira wa miguuuto ndo mliyobakiza
Ila siku ya utopolo nilikuwa nakuwaza yaani, uliniangusha best yangu
Ahaaa nilikuwa nimesahau, hawa si ndio small branch wa simba Ila zamani hawa coastal Walikuwa wanaitwa small simbaKaingie basi we uwanjani Kama unaona uchungu coastal kufungwa
Yeah ndo hao hao na tunatangaza ubingwa kaadamaneAhaaa nilikuwa nimesahau, hawa si ndio small branch wa simba Ila zamani hawa coastal Walikuwa wanaitwa small simba
Unaliaibisha hilo jinaSema hawa coastal union wameamua kula pesa ya simba, huku wameshajua wanashuka daraja, hivi simba sports club wataacha lini kununua hizi game
Line men's wamekula pesa kabisaaPatashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara Vodacom Premier League VPL, Kuendelea kupigwa leo July 11, 2021 ambapo Mnyama Mkali, Simba SC, wanawakabili Wagosi wa Kaya, Coastal Union, kunako Dimba la Mkapa Jiji Dar es salaam.
Mchezo ni mgumu kwa pande zote mbili, kwani Simba SC inasaka alama tatu au sare ili kuweza kutangaza Ubingwa wa (VPL) 2020/21 kwa mara ya Nne Mfululizo huku Coastal Union wakihitaji alama tatu muhimu ili kuweza kujiweka sehemu salama kuepuka mstari wa kushuka daraja.
Simba SC yenye alama 76, kama itashinda mchezo wa leo itafikisha alama 79 na kama itatoka sare itakuwa na alama 77 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote ikiwemo Yanga SC iliyopo nafasi ya pili kwa alama 70 ambapo kama itashinda mechi zao mbili zilizobaki watafikisha alama 76.
Kocha Msaidizi wa Simba SC, Suleiman Matola, amesema kuwa wajiandaa vizuri kwa ajili ya kupata ushindi.
"Tumejiandaa vizuri kwa ajili ya kupata ushindi. Tunawaheshimu Coastal Union ni timu nzuri lakini tumejipanga kesho (leo), kutangazwa kuwa mabingwa". Amesema Matola
Naye Kocha Msaidizi wa Coastal Union Joseph Lazaro, amesema kuwa wamekuja kwa tofauti kabisa kwenye mchezo wa leo ili kujinusuru na kushuka daraja.
"Tumekuja kivingine tofauti na mechi nyingine, tumekuja kupambana dhidi ya Simba SC ili kujinusuru kutoka sehemu mbaya tulizopo". Amesema Lazaro
Nani kuibuka kidedea? Dakika 90 za jasho na damu kuamua. Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1:00 Usiku. Usikose Ukasimuliwa.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
....... Ghazwat....Na Jopo la JF.....
==========
Mwamuzi yupo katikati ya dimba tayari kupuliza kipyenga kuashiria kuanza kwa mchezo.
00' Naaaam mpira umeanza ni dakika 90 za Wanaume hawa kupambana | Simba SC 0-0 Coastal Union.
05' Simba SC wanajipinga kujaribu kupata nafasi huku wakiusoma mchezo wa Coastal.
13' Bocco Goooooooooooooaaal Goooooooooaaal.
John Bocco anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa Free Kick | Simba SC 1-0 Coastal Union.
18' Shuti la mbali la Abushehe linatoka nje ya lango la Simba SC huku Umiliki wa mpira uko upande wa Simba.
23' Mugalu Goooooooooaaal Goooooooaaal
Kope Mutshimba Mugalu anaipatia Simba SC bao la pili, akimzunguka golikipa wa Coastal | Simba SC 2-0 Coastal Union.
Coastal wanafanya jaribu, lakini Defense ya Simba chini Ame wanaokoa hatari ile.
35' Simba SC wapo mbele kwa mabao mawili, huku Coastal wakijaribu kutafuta bao la kwanza, huku mashambulizi yakiendelea.
40' Coastal mbinu zao za kupenya gome ya Simba SC inadunda huku Simba kupitia kwa Mugalu na Miquissone wakipoteza nafasi bomba za kufunga.
45+1' Kuelekea kuwa mapumziko Dimba la Mkapa
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Simba SC wanaongoza kwa mabao mawili kwa bila dhidi ya Coastal Union. | HT, VPL: Simba SC 2-0 Coastal Union.
Kwahiyo mtaa ha lini kununua hizi game na kupulizia dawa kwenye dressing roomYeah ndo hao hao na tunatangaza ubingwa kaadamane
Kwahiyo Lines man mngemaliza nae mapema now zingekuwa saba zimefikaWamshukuru sana kibendera Leo la sivyo wengesha pigwa saba hadi Sasa.
Tuliza kipele hicho mbona unateseka sana.. nyie furaha yenu si kumfunga mnyama ?, basi kaa kwa kutulia ..Kwahiyo mtaa ha lini kununua hizi game na kupulizia dawa kwenye dressing room
Tunawasubiri Kigoma ili kuwafuta machozi hizi timu ambazo mnazioneaTuliza kipele hicho mbona unateseka sana.. nyie furaha yenu si kumfunga mnyama ?, basi kaa kwa kitulia ..
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app